Mr Miller
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 11,445
- 25,727
Hongereni sana.Uku mvua tu
Hongereni sana.Uku mvua tu
Hongera mvua?? Aaah mkuuHongereni sana.
ndio, baraka hizo ynaHongera mvua?? Aaah mkuu
Aisee..ila ikizidi kwangu ni kerondio, baraka hizo yna
Kwani zari sio mwarabu??Huyu mtoto angekuwa wa zari tungesipumuaaaaa anavyolazimishaga wanae wawe waarabu
Mbona watoto sio waarabuKwani zari sio mwarabu??
Dai na ivan wana dam kali sana!au dada anatumia karotoniMbona watoto sio waarabu
kwanini? huna shamba/bustani ww..!!!Aisee..ila ikizidi kwangu ni kero
Nawewe chukua yamamako
Nilikua na bustani..imekwenda na majikwanini? huna shamba/bustani ww..!!!
hahahaNilikua na bustani..imekwenda na maji
Hivi PhD ya Hemed aliipata wapi?
Kwani nikuulize swali, mtu akiwa mweusi anakuwa ni binadamu asiye na hadhi kabisa machoni pa watu?!Naona unausemea moyo ila ukweli iyo mbengu nyeupe ni dili sana hapa mjini
Acha ujinga wewe.........kuwa mweusi imekupa dosari gani katika maisha yako.....
Kwan mtu akiwa mweusi ndio definition ya kuwa mbaya, unajua sielewi?Hivi hemed ni mzuri!!?..au weupe na ubongo movie unawazuzua...hebu mpeleke adobe mtie rangi ya mmatumbi tuone?
Hapana ila watu wengi weupe ni wabaya isipokua weupe unawafichia mashimo...Kwan mtu akiwa mweusi ndio definition ya kuwa mbaya, unajua sielewi?