slyve Ramon
Member
- Jul 18, 2017
- 65
- 34
Habarini wakuu kwa yeyote anaesoma pale au anaekifahamu vizuri plz nisaidie hata contact nikuchek I need to know about some stuffs kama Hostel zake na vinginevyo plz wakuu nisaidieni mdogo wenu








Habarn wakuu kwa yeyote anaesom pale au anaekifahamu vzr plz nisaidie ata contact nkuchek i need to know about some stuffs kama Hostel zake na vinginevyo plz wakuu nisaidieni mdogo wenu![]()
Shukrn kk ntakupgia aseeme udom but mipango ninamarafiki nnavojua mimi mipango wengi wanapanga rum self ni 50-70 No 0678049122 UNAWEZA NICHEK HAPO
Kumbe 2po weng enhee VP ww unaend kupg course gn nduguMwenyewe nataka niende nkasome pale ila suala la hostel linanchanganya sana
Mm naenda development economics.weww ipiKumbe 2po weng enhee VP ww unaend kupg course gn ndugu
Hivi gharama zake zikoje mkuuHostel zipo kuna maps,lapf na ndani ya uzio wa chuo zinaitwa sumaye
Hazipo mbali sana na chuoHostel zipo kuna maps,lapf na ndani ya uzio wa chuo zinaitwa sumaye
Me development finance and investment plannin'Mm naenda development economics.weww ipi



Tusaidie gharam zake mkuuHostel zipo kuna maps,lapf na ndani ya uzio wa chuo zinaitwa sumaye
Thanks kwa ushauriHicho chuo achana nacho hakivumi lakini kimo... Mkienda kucheza mtarudi mnalia najivunia kuwa mwanafunzi wa mipango.. Nicheki inbox nikupe namba ya dogo yupo hapo mwaka wa tatu.. Atakusaidia kupata hostel au nyumba za nje kama unataka.. Ukae mbwanga..miyuji..mpamaa..upendo au maeneo ya don bosco..muende mkasome sana..msifate mkumbo mmesikia wazazi wenu tuna tafauta hela kwa shida sana![]()
Hostel gharama sana ndugu arafu kama umezoea maisha yako ya pekee yako..hostel hutaweza mana mnaishi kuanzia watu wawili hadi wanne..pia hostel nyingi hawa ruhusu kujipikia...kiukweli huta juta kusoma mipango...nakipenda sana chuo cha mipango ila ndo hivyo tena maisha lazima yaendelee..Thanks kwa ushauri
0754660061..Tusaidie gharam zake mkuu
Aisee shukrn San kk now nmepat mwangaHostel gharama sana ndugu arafu kama umezoea maisha yako ya pekee yako..hostel hutaweza mana mnaishi kuanzia watu wawili hadi wanne..pia hostel nyingi hawa ruhusu kujipikia...kiukweli huta juta kusoma mipango...nakipenda sana chuo cha mipango ila ndo hivyo tena maisha lazima yaendelee..
Aise hii course nasikia ni bingo sana ,ila uwe makini sana cause ukigraduate na gpa nzuri una faida sana yani kuna msela wangu ni graduate wa last year sahivi mtu mwingine kabisa yani we pambanaMe development finance and investment plannin'
Daaa asee shukran San kk wacha nkapambane vilivyo ynAise hii course nasikia ni bingo sana ,ila uwe makini sana cause ukigraduate na gpa nzuri una faida sana yani kuna msela wangu ni graduate wa last year sahivi mtu mwingine kabisa yani we pambana
Daaa asee shukran San kk wacha nkapambane vilivyo ynAise hii course nasikia ni bingo sana ,ila uwe makini sana cause ukigraduate na gpa nzuri una faida sana yani kuna msela wangu ni graduate wa last year sahivi mtu mwingine kabisa yani we pambana