Akikusamehe uache ujinga wako wa kuhadithia kila kitu hadi visivyohadithiwa
HELP..Leo mpenz wang kaja kuniomba msamaha..kwasababu ameniambia kwanga wik 3 zilizo pita alilala na mwanaume mwingine...anasema anajutia na anaomba msamaha..na anatishia kujiua kama nisipo msamehe.cjui nifanye..kwa sasa sii hitaji hata kumuona,na mwona kama uchafu..nifanye nn.?nimsamehe au nimwache..?
Kama bado unampenda mpokee tu. ni ajali tu hiyo
Wanaume ..... Very selfish
Nyie mkilala nje mnataka msamehewe
Ila wanawake wanageuka uchafu
Kama bado unampenda mpokee tu. ni ajali tu hiyo
wanawake wa siku hizi majanga yan anachapwa nje harafu anakuja kukwambia amechapwa wewe utakuwa bushoke
Wanaume ..... Very selfish
Nyie mkilala nje mnataka msamehewe
Ila wanawake wanageuka uchafu
Balacuda......hiko kituo kinanikumbusha maeeneo ya Tabata.........toba ya kwanza anayoipenda BWANA ni kwenda kumalizana na uliyemkosea kwanza,
wanawake wa siku hizi majanga yan anachapwa nje harafu anakuja kukwambia amechapwa wewe utakuwa bushoke