Help me get out of this!!!!

Help me get out of this!!!!

STABILIZER

Member
Joined
Jan 7, 2013
Posts
10
Reaction score
13
Ndugu wana JF, hodi hodi,

Nawaletea tatizo langu ambalo limenisibu kwa muda mrefu sasa. Najua humu kuna watu kazi yao kukejeli wenzaon na kukatisha tamaa. please naomba chukulia serious na ujibu serious.

Mimi ni mwanaume 34 years old, nina mke na watoto wawili now. Kabla sijasema tatizo langu, let me brief my short life history. Nikiwa mtoto mdogo nilikulia na kusoma ktk mazingira magumu sana. Maisha yangu yalikuwa ya kugombezwa na hofu, mara nyingi nilikuwa nakosa hata mahitaji na wakati mwingine nililazimika hata kuomba msaada kwa wale ambao sio family members. Nilijiona niko down sana darasani na hata mtaani.

Nakumbuka sikuwahi kuwa na girl friend wala kufanya tendo la ndoa mpaka nilipomaliza chuo kikuu nikiwa 27 years old. Lakini nikiwa chuo kuna siku nilienda room ya rafiki yangu kusalimia nikakuta watu wanaangalia movies za xxx. Nilipatwa na mshtuko fulani ila nikajikaza wasinielewe, it was my first time kuona ile kitu, ghafla suruali yangu ikafumuka nikatoka nje kama vile naenda kujisaidia, ikipoa narudi. Baada ya lile tukio nikajawa na msongo wa mawazo sana.

Nikajikuta nafanya masturbation kutuliza hiyo hali. Walikuwepo wasichana waliokuwa wananivunga kwangu lakini nilikuwa najikuta too late kuja kugundua. One case mpaka nilitukanwa na lady kuwa kitu changu haifanyi kazi. I felt very bad yaani nilijiona kama vile mimi sio mwanaume. Wengine walikuwa wanajileta kwangu lakini nilikuwa najiepusha nao maana la kwanza, huanza kuniomba hela na mimi maisha yangu yalikuwa magumu sana kiasi kwamba boom likitoka nilikuwa natuma nyumbani kumsaidia mama ambaye ndo ananitegemea kwa kila kitu. Baba alishafariki since 1990s.

Baada ya chuo nilipata kazi kwenye taasisi moja ya binafsi. Nikawa nakaa nyumba moja ya kupanga na mfanyakazi mmoja wa kike. Alinifanyia mauchokozi na cku moja ndo ikawa mara yangu ya kwanza kufanya mapenzi. After that nikapata rafiki wa kike ambaye alikuwa karibu sana na mimi na nikampenda sana. Nikampa ahadi ya ndoa akanikubalia lakini akakataa kufanya tendo la ndoa mpaka siku ya ndoa. Nilivumilia tuu kwa jinsi nilivyompenda lakini nikawa naendelea na kufanya masturbation.

After marriage tatizo hili limeendelea kunisibu na kila nikijaribu kuacha nalirudia. Nimekuwa na msongo wa mawazo kuhusu hili tatizo, maana hata nikifanya tendo la ndoa ucku, asubuhi nikienda bafuni unakuta nafanya tena. Zile picha za xx tulizokuwa tuanangalia chuoni zimeniathiri kisaikolojia kiasi kwamba hata ofisini nikiwa sina kazi najikuta naziangalia. Najikuta kwenye majuto na sijielewi nifanye nini niachane na hii kitu.

Naomba mwenye wazo mbadala la kunitoa kwenye hili tatizo abisaidien ili niwe huru. Linanifanya nijiione weak, sometimes nikiwa na binti hata kupiga naye story siwezi yani mpaka aanze yeye mazungumzo ndo mimi nichangie mada

Kama una jambo unaona unaweza kunishauri niinbox
 
Pole sana, Hilii huenda ni tatizo la kisaikolojia zaidi. Jaribu kuamini na kuilazimisha akili ikubali kuwa mkeo ni bora zaidi kuliko huo mchezo unaoufanya au unaweza kuwaona wataalamu wa saikolojia na akili za binadamu kwa ushauri zaidi.
Sina cha kuongeza, ila pole kwa mara nyingine.
 
Stabilizer, You need to speak with your wife, don't shy off from the situation.

Ofcourse it hurts to know that what are you up to.
Unfortunately you are the one who suffering because your wife is not aware of your behaviours.

To keep your relation going, talk to your wife, express to her and explain what you have been through, choose a time that you are both in high moods. Remember you have got two kids tolook after!
A problem shared is a problem solved.
 
Pole saana
tafuta madaktari wa Psychology...wakusaidie...
 
watu8 ule ushauri wako wa kumasterbate na super glue hauhitajiki hapaaa!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
pole sana kakangu!
mi sikushauri uongee na wife kwa sasa!kimsingi kugundua mumeo anapiga puli ni umizo mara mbili kwa mke!since ataanza yeye sasa kutokujiamini na uwezo wake kindoa!matokeo yake utazidi kupoteza uwezo wako wa kijinsia since utaanza kumugopa na yeye kukugopa wewe na pengine kukuchukia of which kwa tatizo ulilonalo na historia ya maisha yako ndo kitu kikbwa kilichokugharimu hayo!
ulikuwa unatafuta kukubaliwa,hakuna mtu wa wkukubali ukajiamulia kujikubali mwenywe!
-MAOMBI!
-TAFUTA WATAALAMU WA AFYA YA AKILI!
-ukishafanikiwa kwa steps hizo mshiirkishe mkeo since utakuwa in avery good postion kumuassure kuwa umeasha since umehapitia hatua one two three ,pole sana!
 
Pole sana mkuu ,mara nyingi ili tatizo unalisababisha wewe mwenyewe jaribu kuepuka kuangalia picha hizo za xxxxxx,jaribu kufanya shughuli nyingine ili ujikipu busy zaidi hii inaweza kukusaidia,fanya mazoezi mara kwa mara au tafuta vitu vinavyoweza kukupa burudani zaidi ili kuweza kuweka akili yako sawa ,pia jaribu kujichanganya na watu mbalimbali hii itakusaidia kubadilisha mawazo na kuiweka sawa akili yako pindi unapochoka baada ya kufanya kazi, ukishindwa zaidi jaribu kutembelea taasisi za afya ili uweze kupata ushauri wa kitaalamu na tiba zaidi.
 
50 CENT ATAJA MBINU TANO ZA KUKUFANYA UACHE KUPIGA PUNYETO




Masturbation, ni kitu ambacho watu wengi hufanya kwa siri kujiridhisha pindi wawapo na hamu ya kufanya kale kamchezo kama Diamond anavyokaita!

Lakini si kitu ambacho unaweza ukasema hadharani. It’s a dirty secret!

Lakini 50 Cent haoni aibu kulizungumzia hadharani.
Rapper huyo ambaye anasema kujichua ni dhambi ametoa somo la jinsi ya kuachana na tabia hiyo kupitia Twitter kama ifuatavyo.
 
mkuu huyo mkeo ukiona unatamani tu wewe mbandue halafu mbandue sana ili hamu ipungue kutokana na kuchoka kwa kubanduana zaidi ya hapo utakuwa muhanga mpaka basi pole sana...
 
Naomba kuanzia sasa hv acha kabisa kuangalia hzo movie za XXX, ndizo zinazozidisha tatizo hadi sasa.
Jaribu kuwa busy kazini kwa kufanya kazi kwa bidii, pia ukiwa nyumbani jaribu hata kuwa busy na watoto na mkeo.
Jaribu kufanya sana mazoezi ukiwa mpweke ili uondokane na mawazo ya punyeto, nahs inaweza kukusaidia.
Pia ule muda wa asubuhi unaoenda kuoga jaribu kwenda na mkeo huko bafuni mkaoge wote na ukiwa na hamu na punyeto unamalizia kwa mkeo papo hapo.
 
watu8 ule ushauri wako wa kumasterbate na super glue hauhitajiki hapaaa!!!!!!!!

Hahaha best, jamaa nimemsoma ila hapa siwezi mpa ule ushauri...
Binafsi nimemuonea huruma kwa namna alivyojieleza maana hili ni tatizo linatukumba wanaume wengi na ukiliendekeza utajikuta mkono unageuka kuwa nyumba ndogo.
Hapa jambo la muhimu ni huyu mkuu kukubali na kuufanya ubongo wake uamini hilo alifanyalo si sahihi. Unajua kufanya mapenzi au masterbation chanzo chake ni kimoja, ni tamaa ya ule utamu wa kumwaga. Once ukicontrol hiyo feeling, ni rahisi kutibu sio masterbation tu bali hata pre ejaculation.
 
Last edited by a moderator:
Pole sana mkuu ,mara nyingi ili tatizo unalisababisha wewe mwenyewe jaribu kuepuka kuangalia picha hizo za xxxxxx,jaribu kufanya shughuli nyingine ili ujikipu busy zaidi hii inaweza kukusaidia,fanya mazoezi mara kwa mara au tafuta vitu vinavyoweza kukupa burudani zaidi ili kuweza kuweka akili yako sawa ,pia jaribu kujichanganya na watu mbalimbali hii itakusaidia kubadilisha mawazo na kuiweka sawa akili yako pindi unapochoka baada ya kufanya kazi, ukishindwa zaidi jaribu kutembelea taasisi za afya ili uweze kupata ushauri wa kitaalamu na tiba zaidi.

Jaribu kufata ushauri huu, itakusaidia sana.
 
Pole sana broo, kuacha kuangalia xx ni sehemu ya kwanza kabisa kukupunguzia ukubwa wa tatizo lako.
 
Nilikua nawaonea wivu sana wanaume walioanza kuduu after 18 years lakini nikaja kuona imenisaidia sana kutofanya mchezo huu, mimi nilianza kuduu nikiwa na 10 years.
 
Hayatuhusu ukiwa wewe na nani? hii singo yako imeshachuja njoo kivingine bwana mdogo.

haaa haaaaa!!aka ka dogo kamezidi kukokpy na kupaste mawazo yake mwenyewe kanakera aka dahh!
 
Back
Top Bottom