Help me get out of this!!!!

Help me get out of this!!!!

Mkuu uamuzi wa kuacha jambo hili upo kwako we mwenyewe, sema hapana na jitahidi kujibiidisha na usikumbuke picha hzo za x maana kadri ujichuwavyo ndo unazidi kulegeza mishipa ya dushelele na mwisho wa siku hamu ya tendo la ndoa itakuisha kabisaaaaaaa so acha sasa.
 
pole sana kaka,
jitahidi sana kuwa mtu wa maombi na kusoma neno la Mungu. hata hili lako litakapoisha endelea kufanya maombi kwa ajili ya watu wengine kwa ratiba maalumu kila siku. kwa kutafakari zaidi mabo ya kiroho utazishinda tamaa zako.
ni vizuri pia kuwaona wataalamu.
usimwambie kabisa mkeo hata baada ya tatizo kuisha kwani utazua mengine.
 
1. Kwanza nakupa pole sana Stabilizer kwa matatizo yako ya sasa yenye chanzo kwenye malezi na makuzi yako.
2. Pili nakupongeza kwa kuchukua hatua kueleza tatizo lako. Wanasema a problem known is a problem solved
3. Tatu nami ninaungana na wale waliolielewa tatizo lako na kukushauri njia mbali mbali za kulitatua. Hata hivyo itakubidi kuchuja sio kila njia itakufaa kwa sasa au katika mazingira yako. Mfano kumwambia mkeo kuna uwezekano mkubwa mwa kukuza tatizo badala ya kulitatua. Pia kusema kuwa acha picha za pono haitoshi maana hata wewe bila kuomba hata msaada najua unatamani uache isipokuwa unapata ugumu wa namna ya kuacha. Pia kuanza kutumia pombe inaweza kusaidia lakini unahitaji umakini kwani inaweza kukusababishia alcohol abuse au hata kukuletea double addiction yaani Masturbation na Alcohol addictions.Kwa hiyo bottom line ni kuwa kuacha addiction inahitaji bidii ya ziada.

4. Ushauri wangu: Kwanza fanya uamuzi moyoni kuwa unaacha jambo hili kwani ni hatari kwa mstakabali wa ndoa na familia yako. Halafu kubali moyoni pia kuwa utapitia pain fulani wakati wa kuacha hasa siku za mwanzo mwanzo. Panga ratiba yako kiasi kwamba huna muda wa kuwa peke yako hata kama utalazimika kupoteza muda muhimu wa kufanya kazi privately kwenye PC lakini kubali kupoteza. Fahamu nguvu ya addiction kama masturbation ni shortlived kiasi kwamba ukifanikiwa kuacha angalau mwezi mzima basi utaweza kuacha kabisa baada ya muda fulani. Lenga kupunguza frequency kama utashindwa kabisa.
5. mwisho zipo njia nyingi kama hizo hazitasaidia wasiliana nami: 0714689510 kwa msaada zaidi
 
Back
Top Bottom