Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,708
sijakuelewa. kipi kiu na kipi cha kukatia kiu? mie naumwa.
Try to listen your heart,jibu la maswali yako lipo hapo!Utakachopata hapo ndipo uchukue hatua ya kukifanya na utapona!
sijakuelewa. kipi kiu na kipi cha kukatia kiu? mie naumwa.
swit and kyut paxie shida ya nini? kwa nini hukusema mapema?
Kaunga is so sweet hawezi kukunyima wewe dawa kama anayo store.
Kaoge urefresh huwo mwili jasho halina tija tena!
The bottom line is to find out WHY you can't get him out of your mind. If you can't find it out by yourself than you have to meet him and find out as you are with him. Sijui njia nyingine. (Piece of advice: the more you resist thinking about him the more you will find yourself unable to get him out of your mind).hakuna njia ya kutumia bila facing the guy? y do i have to face him na hali simtaki? nipe shortcut.
akiwepo siwezi kongea, kmbka anakuwa moyoni na ubongoni. sioni kama kutakuwa na la mana nitaongea.
gfsonwin umenikwaza unamuonea huruma mtu ambae hana habari? anapoteza energy gani?
Hahahah umeshanitekenya najisikia kupona cwt lov.... daah angalia sana utaniua na pressure
si lazima niseme kizazi chetu hiki mpaka hapa bado hujanielewa?
naku.....!
The bottom line is to find out WHY you can't get him out of your mind. If you can't find it out by yourself than you have to meet him and find out as you are with him. Sijui njia nyingine. (Piece of advice: the more you resist thinking about him the more you will find yourself unable to get him out of your mind).
It is not a big deal, it happens. Just talk to him and it will be over very soon. HIvi una miaka mingapi Erotica?
Moja kati ya mambo ambayo nitakazania yaingie kwenye katiba mpya ni kuhalalisha TOHARA YA WANAWAKE. Jamani eeh, hako kakidude nako kakiwa karefu hujisugua kwenye mapaja na matokeo yake ndio mada za namna hii ambazo MMP nikitoa maoni yangu tu, one of the female mods ananiPM kwa mikwara.
Dawa ya tatizo lako ni kurudia mila
Sina shida ya kumuwaza mtu kila mara sababu huwa nawaza watu 7 ama 8 kwa mpigo.
Yaani naweza mkumbuka mmoja kwa ucheshi, hapo hapo nikamkumbuka mwingine jinsi alivo handsam,
huku nikimkumbuka mwengine kwa utalaamu wake wa kunikuna n.k. Au wakati mwingine
naguswa moyoni hata mara 10 na watu 10 tofauti kwa siku, kutembelewa na watu kama 7 katika
ubongo wangu ama kama 13 rohoni kwangu.
Sasa ya leo kali, nina siku ya 4 namuwaza huyu mmoja tu! Sipendi na wala sijawahi maishani mwangu
kuwaza mtu mmoja, sioni mantiki na naona nikiwaza mmoja wengine nitawapoteza sababu huwa nakuwa
nao na kuwatafuta sababu nao nawawaza. Sasa amekuja huyu kawa kinganganizi ndani ya moyo wangu,
akiwa kama ganda kwenye ubongo wangu na kajenga kivuli cha muonekano wake machoni pangu.
Kila saa ni yeye hapishi wengine. Ananiboa na ananiharibia mood maeneo mengine ya mwili.
Na kubwa kuliko ananiharibia mipango yangu ya kuwa mama wa watoto mapacha.
Uzuri yupo hapa hapa jf kwahio msg sent! Kaka tafadhali nikome!
Kaunga my sweetest I need you now more than ever! wea ar u my love?
Nisaidieni wapendwa katika bwana, ni ugonjwa gani huu? mwenzenu Ero haujawahi nipata!
Dr. Mzizi Mkavu na wengineo msaada plz. Am I sick? Na kama naumwa dawa yake nini?
No mwaaaaah. I think am Sick.:A S cry:
Erotica dear, was a little busy. Sasa nani huyo anayeoccupy that juicy sweety mind of urs 24/7!
Tumehushue mathread weekend yote, huenda akaelewa somo; au unaonaje?
BTW inabidi uninong'oneze ili tuwe na stratergic plan ya ukweliiii!
Hapo utakosea kama utasema nimekukwaza, naamin huyu mkaka yawezekana aliwah hata kukupm tu so he used his physical and mental energy. kwa hiyo lazima aambiwe tu. And to me siyo kwamba numuonea huruma la but am triying to be reasonable. Erotica lazima ujue hata kama anakukwaza haipunguzi nafasi yake ya yeye kuwa binadamu. so am sorry i didnt mean so
wewe ilikuwa unaugua bureeee! mbona hata mimi hivo hivo? unaniangusha swt paxie.