HELP... HELP...HELP... PLEASE!!

HELP... HELP...HELP... PLEASE!!

madibadc

Member
Joined
May 1, 2016
Posts
12
Reaction score
1
Nina Camera yangu Canon EOS 7D, nilikuwa naitumia vizuri leo nikiwa kwenye zoezi la kupiga picha Camera ikakataa kupiga na inaandika, CARD CANNOT BE ACCESSED.REINSERT/CHANGE THE CARD OR FORMAT. nikiformat inaandika CANNOT FORMAT CHANGE CARD...nikakimbia dukani kununua mpya nikaweka inasoma hivohivo....card nazotumia ni SanDisk Utra 32GB
NAOMBA MSAADA JAMANI MWENYE KUJUA NAFANYA NINI HAPA?
 
Umejaribu kuhakikisha kama kadi ni nzima kupitia vifaa vingine vinavyoweza kusoma kadi kama hizo? Eg computer, camera nyingine?
 
Umejaribu kuhakikisha kama kadi ni nzima kupitia vifaa vingine vinavyoweza kusoma kadi kama hizo? Eg computer, camera nyingine?
NILIYONUNUA MPYA NILIJARIBU DUKAN PALE ILIKUWA SAFI TU
 
angalia adapter unayoweka memory card pembeni kuna kiswich/kidude kipeleke mbele ndio uiweke ktk camera
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom