tutafikatu
JF-Expert Member
- Dec 17, 2011
- 3,399
- 4,731
- Thread starter
- #21
Nyie ndio mnaziaibisha profession za watu. Unajiita engineer kabisa bila aibu. Kusoma hujui na kuona huoni. Kama clip hii tu inakushinda kufuatilia ukweli tena ukiwa ndani ya internet utaweza kufanya kipi kwenye engineering?
Acheni kuwehuka nyie...
Jamaa kajitungia tu habari, amekuta documentary youtube....
Hizo helmet hazina uhusiano na gharama hiyo.....
