Karibu sana JF mkuu.
Karibu jamvini.
Karibu sana......ili kuwa "active member"? Sijakuelewa vizuri...!ahsante nime karibia,ila inanipa utata!!!!sijajua jinsi ya kua active member
JF inanipa utata kidogo sababu kuna nisivyo vielewa ndo utata sijaweza fatili thread zote vyema ndo shida apo but nna anza kuelewa kidogokidgo
JF inanipa utata kidogo sababu kuna nisivyo vielewa ndo utata sijaweza fatili thread zote vyema ndo shida apo but nna anza kuelewa kidogokidgo