Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,754
Sikio la kufa!





watajuaje mnaugonjwa ikiwa akuna takwimu za wanaouguaHv chanjo na kutoa takwimu ni lazima.?
Hv chanjo na kutoa takwimu ni lazima.?
Ambao wametoa takwimu mbona bado wanakufa kuliko sisi ambao hatujaweka takwimu hadharani.?watajuaje mnaugonjwa ikiwa akuna takwimu za wanaougua
Ahh sa hapo kumbe shida n hao wa nje na sio sisi wa huku ndani, bc Wakija huko nje muwape dawaMajirani zako tunapulizia sumu kuua wadudu shambani. Wewe hutaki na kwakuwa eti shamba ni lako hutaki kuambiwa chochote, tukuache shamba lako liwe kiwanda cha kuwafyatulia warudi tena kwetu?
soma tena ulichouliza ndio uje tena.. naona unataka shupaza mshipa wa shingo kwa ubishi usio na lazima.. point ni moja tu hapo, wanataka kujilizisha iwapo tunamambukiza ai laa ili wajishughurishe na nchi zenye mambokizoAmbao wametoa takwimu mbona bado wanakufa kuliko sisi ambao hatujaweka takwimu hadharani.?