Hello

Endelea kumtafuta ... ila usisahau ibada coz mume mwema anatoka kwa MUNGU pekee!
 
UMEPATAAAA......!
Sifa zangu;
Mrefu wa futi 6
Maji ya kunde
Nakunywa pombe
navuta sigara asubuhi mchana na jioni,kwa siku vipakti vi5 na nina mpango wa kuongeza japo vifike 10
Nakunywa pombe sometimes nikilewa naweza kukutwanga makofi...,
Michepuko siku mojamoja,,,!
Sina kazi ya kueleweka ila nina Pesa Chafu.

Ukivutiwa na sifa hizo nitafute...!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom