Ramsleem41
New Member
- Mar 31, 2011
- 2
- 0
Jamani naomba msaada mpenz wangu huwa anatoa harufu mbaya but naogopa kumwambia
Jamani naomba msaada mpenz wangu huwa anatoa harufu mbaya but naogopa kumwambia
Ndugu yangu, wewe ni me au ke? na huyo mpenzi wako ni me au ke? anatoa harufu mbaya mitaa gani?
Du!!!!!ampeleke bafuni akamuogeshe.... kama ni kikwapa wengi wao ni ngumu kutoa harufu labda payumu kali ambayo pia kama itachangayikana vibaya na harufu hiyo mtu anaweza kutapika na kuugua. kama ni harufu ya mwili ni kuoga na maji ya ukoko itakwisha.:A S-key:
Niitie nimwambie.
Ni he/she?