Kama wewe ni fuya kimbita uliekosa ubunge hai,na kwa post yako hii inadhihirisha bila shaka kuwa wanahai walikuwa sahihi kukunyima ubunge,,huwezi sema eti hata kama tulichakachuwa waliochakachuliwa walikuwa wapi,maana yake ni moja tu,unabariki uchakachuaji ambao ni kinyume cha sheria..