Hello people!!!

Eliza wa Tegeta

JF-Expert Member
Dec 4, 2011
251
108
Nimekuja rasmi..............mkinipokea itakuwa sawia, msiponipokea basi nyie sio waungwana!!!
A%20S%20465.gif
A%20S%20465.gif
A%20S%20465.gif
 
Karibu sana Eliza wa Tegeta, mimi naitwa Katavi ni mpokea wageni hapa jamvini. Naomba nikupokee mzigo, wengine watakuonyesha mitaa ya humu ndani.
 
Tegeta mtaa gani?

Karibu BM bar kaunta ya ndani.

Au tukutane Tongori pale au Zero Pub.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom