hodi humu ndani waungawana, natumai wote wazima, naombeni mnikaribushe tafadhali
hodi humu ndani waungawana, natumai wote wazima, naombeni mnikaribushe tafadhali
karibu pia zingatia sheria na taratibu za JFKaribu sana.. Fili ati homu....
Karibu jamvini Ikunda, tunasubiria michango yako ya mawazo na hata mali. Ni kukumbusha tu hapo nilikokoleza!!
Karibu Ikunda..sasa wewe ni she/he mana hilo jina latumika jinsia zote!!..
Karibu sana.. Fili ati homu....
Karibu sana mjengoni Ikunda.
karibu pia zingatia sheria na taratibu za JF
Karibu mwanawane
Yu A WELKOME lady
Karibu kida maa, ku kukaa?
karib sana. wakikukera usisite kunijulisha. naitwa klorokwini nafanya kazi microsoft office tawi la kigoma.