hello members!

Ikunda

JF-Expert Member
Jul 12, 2010
718
151
hodi humu ndani waungawana, natumai wote wazima, naombeni mnikaribushe tafadhali
 
Karibu jamvini Ikunda, tunasubiria michango yako ya mawazo na hata mali. Ni kukumbusha tu hapo nilikokoleza!!

asante sana Kyachakiche, hapo ulipokoleza ni gugumizi la vidole tu.
icon6.png
 
karib sana. wakikukera usisite kunijulisha. naitwa klorokwini nafanya kazi microsoft office tawi la kigoma.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom