Heloo
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 4,391
- 3,409
HELLOHELLOW TANZANIA MAPENZI YA DHAT!!
Jamani sijui nipo peke angu au tupo wengini tunyimbo hutu naona sasa tunashika kasi...je we mwenzangu umeipenda ya toka mkoa gani na unaweza kuiandikA HAPA ili tuinjoi zaidi...
mi naanza na ya KINYAKYUSA
NAGOLOSYA AMAKONO YANGU KUMWANYAAAA!........IKISU KISULUMENYEE NA IMIKONO MITALALIFUUU!
KAMA NIMEKOSEA KWA WANYAKYUSA mtanisahisha...mi nimenda tu jamani na ile toka ARUSHA kama kidhungu....!
BIG UP kwa ubunifu wa hali ya juu kwa wote mliohusika nampango huu,kweli unahamasisha UZALENDO kuipeda NCHI,KUPENDANA NA KUJALIAA.
Na kama kuna kabila bad haijaanza kusikika mana nasikia hii ni kampeni ya mkoa kwa mkoa unaweza ukaweka hapa kwa kilugha chako ili tujumuike kufurai.yaani kiandike kwa kilughachako.....mlinielewa itakuwa rahisi.
Jamani sijui nipo peke angu au tupo wengini tunyimbo hutu naona sasa tunashika kasi...je we mwenzangu umeipenda ya toka mkoa gani na unaweza kuiandikA HAPA ili tuinjoi zaidi...
mi naanza na ya KINYAKYUSA
NAGOLOSYA AMAKONO YANGU KUMWANYAAAA!........IKISU KISULUMENYEE NA IMIKONO MITALALIFUUU!
KAMA NIMEKOSEA KWA WANYAKYUSA mtanisahisha...mi nimenda tu jamani na ile toka ARUSHA kama kidhungu....!
BIG UP kwa ubunifu wa hali ya juu kwa wote mliohusika nampango huu,kweli unahamasisha UZALENDO kuipeda NCHI,KUPENDANA NA KUJALIAA.
Na kama kuna kabila bad haijaanza kusikika mana nasikia hii ni kampeni ya mkoa kwa mkoa unaweza ukaweka hapa kwa kilugha chako ili tujumuike kufurai.yaani kiandike kwa kilughachako.....mlinielewa itakuwa rahisi.