Hellen Makanza wa Stanbic katika sakata la Tegeta Escrow Account

Mkuu Chige asante kwa ufafanuzi wako! Mie sio mtaalamu wa mambo ya banking hivyo bado nina duku duku la kujuzwa zaidi - kwa mazingira yetu ya Tanzania hivi transfer ya kiwango kikubwa hivyo cha fedha kwa mara moja haipaswi ku-arouse interest ya kila mhusika kuanzia kwenye Branch mpaka HQ kutaka kumjua huyo "Mteja"?

Hiyo ni lazima mkuu, tena kuna benki zingine wana daftari la kurekodi mialama yote mikubwa kulingana na mwenendo wa mteja, kama Samaritan amezoea kuja kutoa vilaki 1 mara elfu 80, siku zingine 150,000/=, siku akija kutoa hata 3,000,000/= tu italeta utofauti na huenda akauluzwa hela imetoka wapi. huo ni mfano tu kuhusu swali lako. Nimewahi shuhudia mabenki wakipeleka daftari la miamala wanaiita high value pamoja na withdrawal receipts kusainiwa kwa meneja ili kujiridhisha na huo muamala. Ila kwenye hili ulishaambiwa serikali ilipigwa ganzi/ili paralyze mkuu. Watu walikua wanafuata oder tu!
 
Last edited by a moderator:
Wakuu,

Washiriki wa ndani waliofanikisha usafishaji wa fedha haramu(money Laundering) Stanbic Bank ni wafuatao:-

1. Paul Omara- Acting CEO,between July 2013 to January 2014
2. Lilian Kitomari : Head Executive Banking, ndio aliyoleta dili na kukubaliana na Paul Omara, wafungue Account ya PAP kinyume cha utaratabu. Hii Account ilitakiw ifunguliwe Corporate, wao wakafungua Business Banking kama biashara ya duka Kariakoo, maana masharti ni Nafuu
3. Account Ilifunguliwa tarehe 27/11/2013 bila hata minimum balance, na tarehe 28 pesa ikainigia over USD. 22 Million,
4. Uhamishaji wa fedha ulifanyika tarehe 04/12/2013 na tarehe 06/12/2013. Transfer zote zina reference number na ni Outward Transfer kwenda kwenye mabenki ya either nje au ndani lakini transfers zilikuwa za USD. Hapo kwa kutumia reference No na Swift Copy(MT 103) Beneficiaries watajulikana tu
5. Vigogo wote waliotuhumiwa wa Nishati na Madini kuanzia Jairo, Ngeleja, Maswi,Muhongo, Gurumo, Mtawa na TD wana accounts zao chini ya Executive Banking na wanamtumia Lilian Kitomari kufanya yao. Account Zao zina pesa nyingi na tena ni USD. PCCB waitishe tu waone.
6. Kwa wanaopenda kuconnect dots picha ya Paul Omara hiyo hapo attached,mweusi kuliko wote kulia. Mi naogopa kung'olewa kucha.
7. Head of Compliance Edmund Msuya naye lazima anahusika kwenye money laundering, maana account ilifunguliwa bila kufahamu mteja(KYC Compliant) na ni nani alisaini waiver/exception ni Paul Omara. Huyu Mganda arudishwe mara moja nchini apandishwe kizimbani kwa makosa ya kufacilitate Money Laundering Activities kwa Gharama za Stanbic Bank Tanzania. Laa sivyo leseni yao ya kibenki isitishwe mara moja na Benki kuu ichukue Administration yake kama ilivyofanya kwa FBME.

CC. Kafulilia, Zitto Kabwe, Mwigulu Nchemba, Ole Sendeka, Hosea, Takukukuru na Henry Kessy FIU.
 

Attachments

  • __320x320_5201fad7c215c (1).jpg
    __320x320_5201fad7c215c (1).jpg
    11.4 KB · Views: 638
kutokana data protection act ndio maana majina hayakuonyeshwa ......................
 
Anamuita Getrude Mongela aunt ...kaka tatizo Nchi Hii wote wenye kazi Ndio Hao Hao ....atakaa VIPi lockup ya takukuru
Mkuu PM tatizo ni benki.hata wewe ukiomba viza ikihitajika bank statement iliosainiwa ni lazima kuna ofisa wa benki ataisaini.sasa kama mihela yako michafu sidhani kama atakuwa katika nafasi ya kulijua hilo..pale amethibitisha kuwa akaunti ipo na miamala ndio hiyo.
 
Wakuu,

Washiriki wa ndani waliofanikisha usafishaji wa fedha haramu(money Laundering) Stanbic Bank ni wafuatao:-

1. Paul Omara- Acting CEO,between July 2013 to January 2014
2. Lilian Kitomari : Head Executive Banking, ndio aliyoleta dili na kukubaliana na Paul Omara, wafungue Account ya PAP kinyume cha utaratabu. Hii Account ilitakiw ifunguliwe Corporate, wao wakafungua Business Banking kama biashara ya duka Kariakoo, maana masharti ni Nafuu
3. Account Ilifunguliwa tarehe 27/11/2013 bila hata minimum balance, na tarehe 28 pesa ikainigia over USD. 22 Million,
4. Uhamishaji wa fedha ulifanyika tarehe 04/12/2013 na tarehe 06/12/2013. Transfer zote zina reference number na ni Outward Transfer kwenda kwenye mabenki ya either nje au ndani lakini transfers zilikuwa za USD. Hapo kwa kutumia reference No na Swift Copy(MT 103) Beneficiaries watajulikana tu
5. Vigogo wote waliotuhumiwa wa Nishati na Madini kuanzia Jairo, Ngeleja, Maswi,Muhongo, Gurumo, Mtawa na TD wana accounts zao chini ya Executive Banking na wanamtumia Lilian Kitomari kufanya yao. Account Zao zina pesa nyingi na tena ni USD. PCCB waitishe tu waone.
6. Kwa wanaopenda kuconnect dots picha ya Paul Omara hiyo hapo attached,mweusi kuliko wote kulia. Mi naogopa kung'olewa kucha.
7. Head of Compliance Edmund Msuya naye lazima anahusika kwenye money laundering, maana account ilifunguliwa bila kufahamu mteja(KYC Compliant) na ni nani alisaini waiver/exception ni Paul Omara. Huyu Mganda arudishwe mara moja nchini apandishwe kizimbani kwa makosa ya kufacilitate Money Laundering Activities kwa Gharama za Stanbic Bank Tanzania. Laa sivyo leseni yao ya kibenki isitishwe mara moja na Benki kuu ichukue Administration yake kama ilivyofanya kwa FBME.

CC. Kafulilia, Zitto Kabwe, Mwigulu Nchemba, Ole Sendeka, Hosea, Takukukuru na Henry Kessy FIU.

Taarifa yako ina mashiko
 
Well arranged and coordinated!!!
Only smart and powerful figures can do the same!!!

The ice berg is yet to be seen, but with sight of the tip. . . . . . . . . .
 
hizo kelele zenu za kufifisha uchapakazi wa hii serikali ushie huko huko escrow ni mchezo wa kuigiza cha muhimu nani aliingia mkataba wa capasit chage ya umeme ambayo mpaka sasa inaumiza wananchi hilo ndio muhimu
 
hizo kelele zenu za kufifisha uchapakazi wa hii serikali ushie huko huko escrow ni mchezo wa kuigiza cha muhimu nani aliingia mkataba wa capasit chage ya umeme ambayo mpaka sasa inaumiza wananchi hilo ndio muhimu

Na sio vibaya Magufuli akalivalia njuga,ili tuone haki ikitendeka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom