Nimekuwa nawaza katika kuendelea kufanya mambo makubwa na ya kuinua uchumi wa chini walau basi kufikia wa kati!
Tumekuwa na matukio mengi ya hapa na pale ambayo kwa ujumla wake ili kufikiwa haraka na kuendana na barabara zetu, Je ni Helicopter ngapi ziko nchini mwetu kwa huduma za haraka na hata uokoaji?
Pia kwa kuwa tumeendelea kujenga majengo makubwa na marefu hata kule tunakopeleka mji mkuu Dodoma. Je, Magari makubwa ya kudhibiti moto kwenye majengo tunayo mangapi?
Miundo mbinu ya mabomba ya maji ili magari kuendelea kujaza maji eneo la tukio yameimarishwaje?
Ni vyema basi kama hatujafikia mahali hapo basi washauri wa mwenyekiti semeni paazeni sauti tupunguze baadhi ili tuweke vitendeakazi hivi ndani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumekuwa na matukio mengi ya hapa na pale ambayo kwa ujumla wake ili kufikiwa haraka na kuendana na barabara zetu, Je ni Helicopter ngapi ziko nchini mwetu kwa huduma za haraka na hata uokoaji?
Pia kwa kuwa tumeendelea kujenga majengo makubwa na marefu hata kule tunakopeleka mji mkuu Dodoma. Je, Magari makubwa ya kudhibiti moto kwenye majengo tunayo mangapi?
Miundo mbinu ya mabomba ya maji ili magari kuendelea kujaza maji eneo la tukio yameimarishwaje?
Ni vyema basi kama hatujafikia mahali hapo basi washauri wa mwenyekiti semeni paazeni sauti tupunguze baadhi ili tuweke vitendeakazi hivi ndani.
Sent using Jamii Forums mobile app