Kabla hujaanza kulalamika kuhisu pesa ya mkeo inaenda wapi fatilia vitu hivi kwanza usijekuonekana miyeyusho
β Kuna mashuka mangapi ndani, au unajua kujifunika tu na haujui limetoka wapi?π
β Masufuri na vyombo vya kupikia vipo vingapi?
β Mapazia ya mlangoni na dirishani yapo mangapi??
β Mapambo kama maua na mapambo mengine vipo vingapi??
β Vest na nguo za kulalia zipo?
β Vikangagio vya mlangoni vipo vingapi ?? Huenda ata bei huijuiπ
Tupunguze ulalamishe et ela ya mwanamke hainaga kazi wakati ndani kuna vitu na haujui bei yake.