Hela ni muhimu kuliko mapenzi?

Hela ni muhimu kuliko mapenzi?

ikhlas

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2015
Posts
1,097
Reaction score
1,432
Wadau! Nimeshtushwa kwa kiasi kikubwa kwa jinsi uzi wenye kichwa cha habari cha"Maombi ya nafas za muda za ukarani wa sensa"Unavyotembea kwa kasi ya ajabu kuanzia comments mpaka views ,kuliko ule uzi pendwa kwa hapa JF wa "Ushawahi kula tunda kimasihara",Hii ina maana gani?

1.Hela ni muhimu kuliko mapenzi?
2.Maisha Yakiwa magumu mapenzi hayana nafasi?
3.Watu hupenda zaidi kazi kuliko mapenzi?
4.Watu wapo bize kutafuta hela kisha ndo warudi mapenzini?
5.Au makarani mpo bize kutafuta makoloni mapya kupitia kazi ya ukarani wa sensa?

NB.Tujiandae kujesabiwa watanzania
 
Dunia ya sasa ipo strategic sana mkuu

Zote zina options

Kuna mapenzi ya dhati bila hela
Na kuna mapenzi ya dhati yanayotegemea hela ili kuendelea

All bills payed
 
Those who are strong financially will be enjoying and survive, however those who are weak financially will be struggling to source money eventually perish.
 
Kila kimoja ni bora kwa nafasi yake ila tu

Panapohitaji hela usitumie maneno hayahitajiki
 
Kiuhalisia Mimi nikiwa sina pesa hata mkunyenge hausimami , hii inaonyesha ni jinsi gan pesa ilivyo ya muhimu

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 
Wadau! Nimeshtushwa kwa kiasi kikubwa kwa jinsi uzi wenye kichwa cha habari cha"Maombi ya nafas za muda za ukarani wa sensa"Unavyotembea kwa kasi ya ajabu kuanzia comments mpaka views ,kuliko ule uzi pendwa kwa hapa JF wa "Ushawahi kula tunda kimasihara",Hii ina maana gani?

1.Hela ni muhimu kuliko mapenzi?
2.Maisha Yakiwa magumu mapenzi hayana nafasi?
3.Watu hupenda zaidi kazi kuliko mapenzi?
4.Watu wapo bize kutafuta hela kisha ndo warudi mapenzini?
5.Au makarani mpo bize kutafuta makoloni mapya kupitia kazi ya ukarani wa sensa?

NB.Tujiandae kujesabiwa watanzania



Tafuta hela wewe na nyege utazidishiwa
 
Ulimwengu wa sasa bado unatafuta kupendwa ndipo ukamilike.
Kama unataka ukamilishwe na mapenzi bado unasafari ndefu sana
 
Dunia ya sasa ipo strategic sana mkuu

Zote zina options

Kuna mapenzi ya dhati bila hela
Na kuna mapenzi ya dhati yanayotegemea hela ili kuendelea

All bills payed
Pesa haihusiani sana na mapenzi Bali nature ya maisha kwa ujumla wake inatuhitaji tuwe na pesa ili tuendelee kuishi.
.
Maana uwe kwenye mapenzi ama nje ya mapenzi unahitaji basic needs. Regardless
.
Mfumo wa maisha Kama ulivyo umepanga kila mtu atumie pesa weather ana mpenzi au Hana.
.
Ila sisi wanadamu tunapenda kujilazimishia uongo
Na huwezi kuwa na mapenzi ya dhati Kama huwezi kutimiza basic needs

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom