Hela natafuta mwenyewe, sielewi kwanini serikali inajaribu kunipangia matumizi

Victoire

JF-Expert Member
Jul 4, 2008
24,386
57,585
Jamani sijui tunakoelekea ni wapi!

Leo nilienda bank flani kutuma pesa Uingereza(paundi 1000) kwa mdogo wangu. Sasa jamani nimekutaka na maswali kibao mara eti unaemtumia huko anafanya nini? Nikawajibu ni mwanafunzi. Mara eti mwambie atume admission letter, mara sijui passport, mara atume kitambulisho cha chuo.

Jamani huwa natuma mara kibao ila safari hii ndo nimekutana na vikwazo, ikabidi anitumie kitambulisho chake cha chuo.

Nikauliza why this,eti wananijibu Rais Magufuli hataki hela zitoke, eti nchi haina pesa.

Jamani hii serikali msitupangie matumizi ya pesa zetu.
 
Jamani sijui tunakoelekea,leo nilienda bank flani kutuma pesa uingereza,paund 1000 kwa mdogo wangu,sasa jamani nimekutaka na maswali kibao mara,eti unaemtumia huko afanya nini,nikawajibu ni mwanafunzi,mara eti mwambie atume admission letter,mara sijui passport,mara atume kitambulisho cha chuo.Jamani huwa natuma mara kibao ila safari hii ndo nimekutana na vikwazo,ikabidi anitumie kitambulisho chake cha chuo.
Nikauliza why this,eti wananijibu JPM hataki hela zitoke,eti nchi haina pesa.
Jamani hii serikali msitupangie matumizi ya pesa zetu.


Kwa nini usitafute nchi yako kama hautaki kupangiwa?
 
hiyo kauli likuwa offical isijekuwa na aliyekuambia na yeye ni muhanga wa zoezi la kuziba mianya ya black money.

Ningekuwa mimi ningewapongeza kwa kutaka kuhakikisha pesa hiyo inatoka kwenda mikono salama sio fisadi flani au mtu falni aliyebanwa anavusha pesa kwenda kuzificha ulaya kiana.
 
Hiyo siyo JPM nchi nyingi sasa zimestuka kuhusu utakatishaji pesa na ndiyo maana kuna maswali mengi tuu utaulizwa kabla ya kuruhusiwa kupeleka[ Pengine unapeleka ISIS jee?]
Mhuuuuuum paund 1000 tu jamani.Mbona kipindi cha nyuma nilikuwa natuma bila tatizo?
 
Jamani sijui tunakoelekea ni wapi!

Leo nilienda bank flani kutuma pesa Uingereza(paundi 1000) kwa mdogo wangu. Sasa jamani nimekutaka na maswali kibao mara eti unaemtumia huko anafanya nini? Nikawajibu ni mwanafunzi. Mara eti mwambie atume admission letter, mara sijui passport, mara atume kitambulisho cha chuo.

Jamani huwa natuma mara kibao ila safari hii ndo nimekutana na vikwazo, ikabidi anitumie kitambulisho chake cha chuo.

Nikauliza why this,eti wananijibu Rais Magufuli hataki hela zitoke, eti nchi haina pesa.

Jamani hii serikali msitupangie matumizi ya pesa zetu.



2020 usifanye makosa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom