Pamoja na yote,to this end ninawasiwasi na waliopewa dhamana ya kuiongoza idara hii muhimu kwa usalama wa nchi yetu,hainiingii akilini hata kidogo kuwa na idara yenye ufanisi wakati kiongozi wake mkuu serikalini kwa maana ya waziri wake akishabikia mambo ambayo matokeo yake yanaweza kuharibu usalama na utulivu wa taifa..am sorry to say this ,to me she is a public relation officer wa mafisadi.