elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,747
- Thread starter
- #41
Kila pesa inapanda na kushuka.Zinapandaga na kushuka
Ila bitcoin imepanda sana kwakweli
Kila pesa inapanda na kushuka.Zinapandaga na kushuka
Much know acha kuishi kwa hisia.
Hii thread nilianzisha mimi haina hata mwezi
Kuweni makini na biashara ya Bitcoin
Nikiwahasa watu kuwa makini na bitcoin
Ila sasa ninaona ni fursa iliyonipita maana sijawahi kununua bitcoin wala kufanya biashara ya bitcoin.
Ningekuwa na bitcoins nisingeanzisha hiyo thread.
Mtu aliyefanikiwa kununua Bitcoin ikiwa hapa...leo hii atakua ni milioneaNaona bitcoin 1=6,600$ kwa sasa na inazidi kupanda tu aisee hii ni pesa ya kununua.
Kuna nchi moja ulaya inajiandaa na kuachana na matumizi kabisa ya pesa za makaratasi na coin wanataka wahamie kwenye digital money.
Kweli aiseeMtu aliyefanikiwa kununua Bitcoin ikiwa hapa...leo hii atakua ni milionea
Fursa ndio inatembea.. Hatujui baada miaka mitano 5 itakuwaje value yake.. Inawezekana hujachelewa piaMtu aliyefanikiwa kununua Bitcoin ikiwa hapa...leo hii atakua ni milionea