Heko JKT

uzalendo wap mkuu,mtu hafundsh kupenda kitu chochote,anapenda mwenyewe,et jkt wanafundsha mtu kupenda nch yake,cjawah kusikia,wanawapa mazoez magum,chapa vboko,mwez mzma bila kulala,kupalilia mchana kutwa kwa mikono,eti wanafundsha uzalendo,hawajui hata technoloj imebadilika sana,kulima kwa mkono ni kupoteza mda,alaf ukumbuke watoto wao wanasoma nje na jkt hawaend,kutukomolea watoto,mtoto wangu hawez kwenda kujifunza huo ujinga.

Teh teh teh! watafundishwa kwa smart phone! whats up na facebook! wengine ndo mnafundishwa hapa jamii forum! nchi kama Israel ndo waendelee kufundishwa makambini!
 
mambo gani mazur.hamna lolote zaidi ya kuwatesa tu watoto wetu

nafkiri ww ni miongon mwa watu wanaofugwa ndio maana unasema wanateswa mm mwenyewe nilipomaliza kidato cha sita mzaz wangu aliamua kunipeleka jkt(841 kj mafinga) nilijifunza mengi sana kweli jkt inhitaji uvumilivu wa hali ya juu lakn faida yake naiona leo. Kuna jambo nililifanya kwenye mkesha wa krismas ni jambo la kijeshi jambo ambalo limenipa mafanikio. Nawashukur sana makamanda wangu Lt kanari malembo, Lt nkya, na jembe kubwa la maadui Lt D.P Liundi kwayale mambo ya usiku bila kumsaahau kamanda Barua kutoka ( chalii coy) heshma zenu wakuu popote mlipo.
 
nafkiri ww ni miongon mwa watu wanaofugwa ndio maana unasema wanateswa mm mwenyewe nilipomaliza kidato cha sita mzaz wangu aliamua kunipeleka jkt(841 kj mafinga) nilijifunza mengi sana kweli jkt inhitaji uvumilivu wa hali ya juu lakn faida yake naiona leo. Kuna jambo nililifanya kwenye mkesha wa krismas ni jambo la kijeshi jambo ambalo limenipa mafanikio. Nawashukur sana makamanda wangu Lt kanari malembo, Lt nkya, na jembe kubwa la maadui Lt D.P Liundi kwayale mambo ya usiku bila kumsaahau kamanda Barua kutoka ( chalii coy) heshma zenu wakuu popote mlipo.

jambo gani ulifanya ulipiga raia?manake wanajeshi wengi jambo la kishujaa ni kupiga na kutesa raia tu. jkt hamna lolote hao wanajeshi tunawaona huku mtaani hawana uzalendo wowote na maisha yamewashinda wengi wao wanaishia kunywa pombe tu.
 
Nimefurahi sana kwa jinsi watanzania kuanza kufunguka na kunisaidia kuanika uozo unaofanyika jkt.mimi nilianza kwa kuzungumza kwenye kipindi cha radio clouds,gazeti mahiri na lisilotishiwa nyau ns mtu yoyote la -----.gazeti la tz daima pia lilinipa fursa hiyo.navishukuru sana vyombo hivi vya habari.nilifanya hivyo baada ya binti yangu kuanguka ghafla na kufa baada ya kuteswa kwa muda mrefu huku akiwa anaumwa malaria na tonsils na pamoja na kutopewa tiba huko msange jkt tabora.kuna uwezekano mkubwa mwanangu aliona ni bora ateseke mpaka afe kuliko kulazimishwa ngono na ma primitive wanaonuka bangi,vikwapa na midomo masaa 24.jkt hakuna kufundishwa uzalendo,ukakamavu na bla bla nyingine,bali ni concentration camps ambapo vijana wanateswa na wengine kuuawa.mbali na binti yangu wapo wengine waliokufa huko makambini jkt ambapo vifo na vyanzo vya vifo vyao vinafanywa siri kama ilivyofanyika kwa binti yangu.hongera watanzania kuanza kujitokeza kwa wingi na kuanika uozo wa jkt.najua wapo wachache watatumiwa kutetea uozo huo wa jkt lkn itakua ni kama kujaribu kuzuia wimbi la maji ya bahari kwa mikono.tumeshaanza kuona mifano kwenye thread hii.
 
Samahani wadau.kwa bahati mbaya niliruka kutaja gazeti mahiri na lisilotishiwa nyau na mtu yoyote tanzania.gazeti hili ni -----.gazeti jembe na mtetezi halisi wa wanyonge.
 
Wadau napata mshangao.kila nikiandika jina gazeti hili maandishi hutoka dash dash dash.kunani?ngoja nijaribu tena.gazeti ni -----
 
Nimefurahi sana kwa jinsi watanzania kuanza kufunguka na kunisaidia kuanika uozo unaofanyika jkt.mimi nilianza kwa kuzungumza kwenye kipindi cha radio clouds,gazeti mahiri na lisilotishiwa nyau ns mtu yoyote la -----.gazeti la tz daima pia lilinipa fursa hiyo.navishukuru sana vyombo hivi vya habari.nilifanya hivyo baada ya binti yangu kuanguka ghafla na kufa baada ya kuteswa kwa muda mrefu huku akiwa anaumwa malaria na tonsils na pamoja na kutopewa tiba huko msange jkt tabora.kuna uwezekano mkubwa mwanangu aliona ni bora ateseke mpaka afe kuliko kulazimishwa ngono na ma primitive wanaonuka bangi,vikwapa na midomo masaa 24.jkt hakuna kufundishwa uzalendo,ukakamavu na bla bla nyingine,bali ni concentration camps ambapo vijana wanateswa na wengine kuuawa.mbali na binti yangu wapo wengine waliokufa huko makambini jkt ambapo vifo na vyanzo vya vifo vyao vinafanywa siri kama ilivyofanyika kwa binti yangu.hongera watanzania kuanza kujitokeza kwa wingi na kuanika uozo wa jkt.najua wapo wachache watatumiwa kutetea uozo huo wa jkt lkn itakua ni kama kujaribu kuzuia wimbi la maji ya bahari kwa mikono.tumeshaanza kuona mifano kwenye thread hii.
fedha nyingi za mafisadi uwa zinapitia kule.watakwambia uku hakuruhusiwi kukaguliwa
 
Teh teh teh! watafundishwa kwa smart phone! whats up na facebook! wengine ndo mnafundishwa hapa jamii forum! nchi kama Israel ndo waendelee kufundishwa makambini!

usiige vibovu iga mazuri.tugeiga jinsi gani ya kukarabati mfumo wa elimu ningeona tupo sahihi
 
JKT ikisimamiwa vizuri ni swala zuri kwa ajili ya kujenga uzalendo na ukakamavu. Ukiangalia nchi kama Israel wanamfumo wa kupeleka vijana wao jeshini na kwa wanaofahamu Israel raia wake wana uzalendo mkubwa kwa nchi yao.
sio sababu ya jkt ni kwa sababu viongozi wa uko wanawajali watu wao
 
Nimefurahi sana kwa jinsi watanzania kuanza kufunguka na kunisaidia kuanika uozo unaofanyika jkt.mimi nilianza kwa kuzungumza kwenye kipindi cha radio clouds,gazeti mahiri na lisilotishiwa nyau ns mtu yoyote la -----.gazeti la tz daima pia lilinipa fursa hiyo.navishukuru sana vyombo hivi vya habari.nilifanya hivyo baada ya binti yangu kuanguka ghafla na kufa baada ya kuteswa kwa muda mrefu huku akiwa anaumwa malaria na tonsils na pamoja na kutopewa tiba huko msange jkt tabora.kuna uwezekano mkubwa mwanangu aliona ni bora ateseke mpaka afe kuliko kulazimishwa ngono na ma primitive wanaonuka bangi,vikwapa na midomo masaa 24.jkt hakuna kufundishwa uzalendo,ukakamavu na bla bla nyingine,bali ni concentration camps ambapo vijana wanateswa na wengine kuuawa.mbali na binti yangu wapo wengine waliokufa huko makambini jkt ambapo vifo na vyanzo vya vifo vyao vinafanywa siri kama ilivyofanyika kwa binti yangu.hongera watanzania kuanza kujitokeza kwa wingi na kuanika uozo wa jkt.najua wapo wachache watatumiwa kutetea uozo huo wa jkt lkn itakua ni kama kujaribu kuzuia wimbi la maji ya bahari kwa mikono.tumeshaanza kuona mifano kwenye thread hii.
Pole sana kwa yliyomkuta binti yako,mwanangu alikuwa kombania moja na binti yako alinisimulia kilichotokea,ni exactly kama unavyoeleza,alikuwa na malaria ,aliomba udhuru na hakusikilizwa.That was so unfortunate,Mambo ya namna hiyo ni individual faults na isichukuliwe kama ni tatizo la JKT,endapo ubinadamu utazingatiwa JKT ni nzuri tu,sote tumepitia huko,tena ile JKT ya mwaka mzima.Tulijifunza mengi ambayo yanatusaidia hadi leo,uvumilivu,ustahimilivu na ukakamavu.Vijana wengi wanaotoka JKT ya siku hizi angalau wanabadilika na hakuna usharobalo tena.JKT ni nzuri labda tu tupigie kelele unyanyasaji usio na msingi na utesaji ukizingatia kuwa wanaopita JKT hawaendi pale kwa maandalizi ya kuwa askari kamili na uwezi kumbadili raia na kumtrain kuwa askari kwa miezi 3 tu.
 
Ngonani kama kifo cha mwanangu ni individual fault kwanini huyo individual asichukuliwe hatua na mimi nikaona haki imetendeka?na jkt kama corporate kwanini idanganye?imedanganya khs tarehe aliofia mwanangu,wamejaribu kufichs ukweli khs sababu cha kifo cha mwanangu,hawakumfanyia post mortem n.k. je kwa uzembe wote huo bado unasifia jkt.wapo wengine waliokufa kwa mateso kama ya mwanangu.je hili unalizungumziaje?mimi pia nilipitia jkt mwaka wa 1976 huko mafinga.japokua ni zamani lkn hakukua na uzembe wa kupoteza maisha ya vijana kama sasa hivi.
 
aMUKENI WATZ MUSIWE KAMA MAZOMBI MTWARA IMEUZWA NA LUDEWA NAYO MCHUCHUMA LIGANGA IMEUZWA CNA IMANI NAWANA SIASA WOTE WA TZ HAKUNA AMBAYE YUKO TIYARI KUTETEA NCHI YE2 I HATE ALL POLITICIAN
 
Back
Top Bottom