zema21
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 619
- 251
natoa pongezi zangu za dhati kwa serikali kurudisha mafunzo ya jkt.. nimeona yapo mengi mazuri ambayo vijana wanajifunza kuliko ilivyokuwa inapotoshwa hapa.. hii ni baada ya kupitia website ya kikosi kinachoendesha mafunzo cha Rwamkomajkt .
jaribu nawe kupitia www.rwamkoma.jkt.go.tz ujionee mwenyewe
jaribu nawe kupitia www.rwamkoma.jkt.go.tz ujionee mwenyewe