Hekari 5 zinatakiwa kununuliwa

Hekari 5 zinatakiwa kununuliwa

moffee

Member
Joined
Sep 3, 2007
Posts
83
Reaction score
11
Zinatakiwa Herari 5, kwa ajili ya shughuli za ufugaji wa samaki. ziwe mita tati ya 500 mpata 100 toka mto Ruvu Upande wa Mlandizi kabla ya kufika Mlandizi. Kuwe na uwezekano wa kufikika bila karaha ya njia. Kama zipo niPM
 
Back
Top Bottom