kaangwa
JF-Expert Member
- Jan 30, 2011
- 644
- 192
Duh, ama kweli serikali haina pesa.Hii kitu nimeitoa blog ya michuzi, Nyumba ya serikali ambayo atakuwa anaishi spika aliyeko madarakani. Imejengwa kwa Tsh. 1.5 billion ipo Dodoma.
Duh, ama kweli serikali haina pesa.Hii kitu nimeitoa blog ya michuzi, Nyumba ya serikali ambayo atakuwa anaishi spika aliyeko madarakani. Imejengwa kwa Tsh. 1.5 billion ipo Dodoma.
huyu mama si alisema hana nyumba au alikuwa anataka kusema nini
Haifikii ya Mwavita Makamba