Mwlm alikuwa anafundisha mada ya vitendawili,akamwambia juma tega kitendawili..JUMA:kitendawili?WANAFUNZI:tega.JUMA:nivue nguo nikupe utamu?MWALIMU:mshenzi sana nani kakufundisha vitendawili vya kihuni kama hvyo?JUMA:mwlmu kama hujui bora unyamaze tu,jibu la kitendawili hicho ni NDIZI..MWALIMU:aaahaha.