Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 38,900
- 28,012
Waungwana!! Mnisaidie katika hili! Nampenda sana naye ananipenda ila tatizo amepitiliza katika kuchat,yan sms 500 kwake ni masaa tu, kibaya huwa nikimtumia mimi za kwangu kwa kuchelewa anasema sms zimemwishia so atanitext 2,3 then over. NIFANYEJE ILI APUNGUZE KUCHAT MANA CIPENDI HII TABIA!!!
Ina maana meseji 497 zote zinakwenda wapi?????
Ngastuka machale kundesaa!!!