Hahahahahaha ww mtotowamjini acha hizo toka lini cha kuokota kikapelekwa polisi labda maiti maana hata maguruneti watu wakiokote wanapotelea nayo polini!...
Kipipi hizo zilikuwa zamani siku hizi hapati mtu majipu wala nn,hujui siku hizi hata zile nazi wanazopasuaga njiapanda watu huwa wanapita nazo,kila kitu siku hizi deal!...
Hahahahahaha ww mtotowamjini acha hizo toka lini cha kuokota kikapelekwa polisi labda maiti maana hata maguruneti watu wakiokote wanapotelea nayo polini!...