Wont be the same
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 1,564
- 2,483
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA), John Heche akizungumza wakati wa ufunguzi wa kikao cha kawaida cha kamati kuu wa kamati kuu ameeleza kuwa wapo kwenye vita na watu ambao wameshindwa kuongoza nchi, wanaoiba mali za umma na wasio na malengo na nchi hii.
"Sote tunajua kwamba tuko vitani na watu ambao wameshindwa kuongoza nchi, hawakubaliki, hawaaminiki, wanaiba rasimali za nchi, wamefanya wananchi kuwa masikini, hawana ubunifu. Kuna ufisadi mkubwa unaendelea kwenye nchi yetu, watu wanakufa hawana madawa. Rasilimali za nchi yetu zinatapanywa kwa wachina, waarabu na wazungu" - John Heche, Makamu Mwenyekiti CHADEMA
Soma pia
"Sote tunajua kwamba tuko vitani na watu ambao wameshindwa kuongoza nchi, hawakubaliki, hawaaminiki, wanaiba rasimali za nchi, wamefanya wananchi kuwa masikini, hawana ubunifu. Kuna ufisadi mkubwa unaendelea kwenye nchi yetu, watu wanakufa hawana madawa. Rasilimali za nchi yetu zinatapanywa kwa wachina, waarabu na wazungu" - John Heche, Makamu Mwenyekiti CHADEMA
Soma pia