Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,304
- 271,564
Huo ndio ukweliCCM inamuogooa Lissu vibaya sana- wanajua uchaguzi huru na HAKI Lissu hata asipofanya kampeni atamchapa mama yao asubuhi mapema.
Chama chenye umri wa miaka 60+ still kinaogopa uchaguzi huru na haki hii ni aibu kubwa sana.
Yani tanzania bado tuna kundi kubwa wa wajinga kama wew .Mke wa Lissu amepewa kazi ubelgiji, watoto wake wanasomeshwa Marekani. Mke wa Lema amepewa kazi Canada na watoto wake wanasoma Canada. Haya ni mafao ya ukimbizi kwamba nchini kwao sio salama.
Ili mafao haya "manono" yaendelee kuwepo angalau watoto wamalize masomo, Tanzania lazima kusiwe shwari angalau hata kwao tu. Hii maana yake Lissu, Lema na wenzao wanaopata mafao ya ukimbizi hawezi kufurahia malidhiano hata kidogo. Faida yao hii ya ukimbizi inapatikana kwa "kukinukisha vibaya sana" kunakoweza kuzalisha majeruhi na kamatakamata ambayo itatokea mbele ya camera za watu wao ili kuhalalisha status yao ya ukimbizi.
Heche na Mnyika mafao kama haya hawajapati, wanaotumiwa tu. Familia zao tunazo hapahapa kama sisi. Wanacheza music wasiyojua.
Tafadhali sana watu Hawa Heche na Mnyika msiwapige kirungu Wala kuwakamata, wametingwa tu na mkumbo.
hapo kwenye kukinukisha vibaya ndio nimepape.ndaMke wa Lissu amepewa kazi ubelgiji, watoto wake wanasomeshwa Marekani. Mke wa Lema amepewa kazi Canada na watoto wake wanasoma Canada. Haya ni mafao ya ukimbizi kwamba nchini kwao sio salama.
Ili mafao haya "manono" yaendelee kuwepo angalau watoto wamalize masomo, Tanzania lazima kusiwe shwari angalau hata kwao tu. Hii maana yake Lissu, Lema na wenzao wanaopata mafao ya ukimbizi hawezi kufurahia malidhiano hata kidogo. Faida yao hii ya ukimbizi inapatikana kwa "kukinukisha vibaya sana" kunakoweza kuzalisha majeruhi na kamatakamata ambayo itatokea mbele ya camera za watu wao ili kuhalalisha status yao ya ukimbizi.
Heche na Mnyika mafao kama haya hawajapati, wanaotumiwa tu. Familia zao tunazo hapahapa kama sisi. Wanacheza music wasiyojua.
Tafadhali sana watu Hawa Heche na Mnyika msiwapige kirungu Wala kuwakamata, wametingwa tu na mkumbo.
Nilikuwa nataka kumwambia pia hana akiliHuna akili
Hao vijana wajinga wa ccm wanawaza maslahi binafsi tu, yaani wako kama viongozi wa ccm wanaowaza maslahi ya familia pekeeNilikuwa nataka kumwambia pia hana akili
Trauma ya uhandishi wa Jabari imevamiwa aisle sa hivi Kila mwenye smartphone ni investigation journalistMke wa Lissu amepewa kazi ubelgiji, watoto wake wanasomeshwa Marekani. Mke wa Lema amepewa kazi Canada na watoto wake wanasoma Canada. Haya ni mafao ya ukimbizi kwamba nchini kwao sio salama.
Ili mafao haya "manono" yaendelee kuwepo angalau watoto wamalize masomo, Tanzania lazima kusiwe shwari angalau hata kwao tu. Hii maana yake Lissu, Lema na wenzao wanaopata mafao ya ukimbizi hawezi kufurahia malidhiano hata kidogo. Faida yao hii ya ukimbizi inapatikana kwa "kukinukisha vibaya sana" kunakoweza kuzalisha majeruhi na kamatakamata ambayo itatokea mbele ya camera za watu wao ili kuhalalisha status yao ya ukimbizi.
Heche na Mnyika mafao kama haya hawajapati, wanaotumiwa tu. Familia zao tunazo hapahapa kama sisi. Wanacheza music wasiyojua.
Tafadhali sana watu Hawa Heche na Mnyika msiwapige kirungu Wala kuwakamata, wametingwa tu na mkumbo.
Kama uzi hauna maana kwako pita tu aloo. Lakini jamaa zetu wanacheza gwaride hawajui ni la sherehe za muungano, Uhuru au la mazoezi tu ya kuweka mwili sawa. Wakati ruzuku huku imesimamishwa wenzao wanapata mafao ya ukimbizi. Familia zao ziko sehemu salama na tulivu kabisa. Vipi familia za Heche na Mnyika na mazuzu wengine?sidhani kama umetumia uwezo wako wote waakili katika kulifikiria uliloandika au hata kufanya research ya suala zima la taratibu za ukimbizi.
Kuna wakati tuwe tunachimba kidogo kupata details sio kwasababu ya kuja kuandika JF ila hata kwa manufaa binafsi na familia zetu maana kuna siku pia nasi kuna vitu tutavihitaji.
ndani ya mitaa ya Khost - Afghanistan
acha ujinga kubali maarifa uishi na watu vizuriMke wa Lissu amepewa kazi ubelgiji, watoto wake wanasomeshwa Marekani. Mke wa Lema amepewa kazi Canada na watoto wake wanasoma Canada. Haya ni mafao ya ukimbizi kwamba nchini kwao sio salama.
Ili mafao haya "manono" yaendelee kuwepo angalau watoto wamalize masomo, Tanzania lazima kusiwe shwari angalau hata kwao tu. Hii maana yake Lissu, Lema na wenzao wanaopata mafao ya ukimbizi hawezi kufurahia malidhiano hata kidogo. Faida yao hii ya ukimbizi inapatikana kwa "kukinukisha vibaya sana" kunakoweza kuzalisha majeruhi na kamatakamata ambayo itatokea mbele ya camera za watu wao ili kuhalalisha status yao ya ukimbizi.
Heche na Mnyika mafao kama haya hawajapati, wanaotumiwa tu. Familia zao tunazo hapahapa kama sisi. Wanacheza music wasiyojua.
Tafadhali sana watu Hawa Heche na Mnyika msiwapige kirungu Wala kuwakamata, wametingwa tu na mkumbo.
Kavulatana,huwa sikuelewagi,upo kundi la watu,popo,mnyama ama ndege?Mke wa Lissu amepewa kazi ubelgiji, watoto wake wanasomeshwa Marekani. Mke wa Lema amepewa kazi Canada na watoto wake wanasoma Canada. Haya ni mafao ya ukimbizi kwamba nchini kwao sio salama.
Ili mafao haya "manono" yaendelee kuwepo angalau watoto wamalize masomo, Tanzania lazima kusiwe shwari angalau hata kwao tu. Hii maana yake Lissu, Lema na wenzao wanaopata mafao ya ukimbizi hawezi kufurahia malidhiano hata kidogo. Faida yao hii ya ukimbizi inapatikana kwa "kukinukisha vibaya sana" kunakoweza kuzalisha majeruhi na kamatakamata ambayo itatokea mbele ya camera za watu wao ili kuhalalisha status yao ya ukimbizi.
Heche na Mnyika mafao kama haya hawajapati, wanaotumiwa tu. Familia zao tunazo hapahapa kama sisi. Wanacheza music wasiyojua.
Tafadhali sana watu Hawa Heche na Mnyika msiwapige kirungu Wala kuwakamata, wametingwa tu na mkumbo.
George Bush na Bush mtoto wote walitawala Marekani kama marais, tena ni nchi kubwa kabisa duniani. dunia haina usawa na ndio maana marais wote duniani waliopata kutawala ni matajiri.mtu awe rais halafu watoto na familia yake wawe malofa haiwezekani, na kwa tz hilo lazima liwepo sababu kwenye siasa ndiko kwenye maisha mazuri na ndio maana watu wanaacha taaluma zao wanakimbilia kwenye siasaRIZI WANI KIKWETE
SALMA KIKWETE
ABDULLA MWINYI
ABASI MWINYI
ASMA MWINYI
GEOFREY MIZENGO
MTOTO WA SAMIA WENU
MCHENGERWA
KIMBAO
MTOTO WA WASIRA
MTOTO WA MASABURI
Wewe jina lako lipo hapo? kama halipo endelea kuwa CHAWA Msalimie luca
Hata kule Marekani mtu na baba yake walikuwa Marais. Clinton alikuwa Rais na Hilary Clinton alitaka kuwa Rais. Kama wanazo sifa Sioni shida hapo. Hata mm watoto wangu 3 wametamani taaluma yangu; Wacha nao wachukue kazi za baba zao. Ninachojali mm nisambaziwe maji, umeme, barabara, shule ,n amani na utulivu. Majimbo Yako mengi NAMI nikiweza naenda kugombea jimboni kwetu.RIZI WANI KIKWETE
SALMA KIKWETE
ABDULLA MWINYI
ABASI MWINYI
ASMA MWINYI
GEOFREY MIZENGO
MTOTO WA SAMIA WENU
MCHENGERWA
KIMBAO
MTOTO WA WASIRA
MTOTO WA MASABURI
Wewe jina lako lipo hapo? kama halipo endelea kuwa CHAWA Msalimie luca
Unataka kusema na wao watoto wao wako Ulaya huku wanawazuga watoto wa wajinga tu?Mkuu jaribu kuwa mtu smart kidogo; unawafahamu walipo au wanaposoma watoto wa Mnyika au Heche? Upende sana kuongelea Familia ya watu siyo afya sana kwako.
Mbaya zaidi hujui faida ya msimamo wa Lissu kuhusiana na reforms kwenye taasisi zetu?
Kapige mswaki we màlaya wa kimboka ,unanuka domo na maku ,mbwa weMke wa Lissu amepewa kazi ubelgiji, watoto wake wanasomeshwa Marekani. Mke wa Lema amepewa kazi Canada na watoto wake wanasoma Canada. Haya ni mafao ya ukimbizi kwamba nchini kwao sio salama.
Ili mafao haya "manono" yaendelee kuwepo angalau watoto wamalize masomo, Tanzania lazima kusiwe shwari angalau hata kwao tu. Hii maana yake Lissu, Lema na wenzao wanaopata mafao ya ukimbizi hawezi kufurahia malidhiano hata kidogo. Faida yao hii ya ukimbizi inapatikana kwa "kukinukisha vibaya sana" kunakoweza kuzalisha majeruhi na kamatakamata ambayo itatokea mbele ya camera za watu wao ili kuhalalisha status yao ya ukimbizi.
Heche na Mnyika mafao kama haya hawajapati, wanaotumiwa tu. Familia zao tunazo hapahapa kama sisi. Wanacheza music wasiyojua.
Tafadhali sana watu Hawa Heche na Mnyika msiwapige kirungu Wala kuwakamata, wametingwa tu na mkumbo.
Aaaaa kaka, hii ni ile ya usimdharau adui Yako. Na hii imekuja baada ya daudi kumpiga Goliath kwa silaha dhaifu sana. Kule jeshini hakuna adui mdogo na mkubwa.CCM inamuogooa Lissu vibaya sana- wanajua uchaguzi huru na HAKI Lissu hata asipofanya kampeni atamchapa mama yao asubuhi mapema.
Chama chenye umri wa miaka 60+ still kinaogopa uchaguzi huru na haki hii ni aibu kubwa sana.
Kuna wakati CCM inawashukiru sana Heche na Mnyika kwa kuonyesha dunia kuwa tz Kuna demokrasia ya kuongea. Idadi ya Watu wanaohudhuria kesi ya bw. Lissu inazidi kupungua siku hadi siku. Au huoni kaka yangu.Binadamu bwana; unadhani wamechoka ukiwalinganisha na akina nani? Wewe mwananchi au mtumishi wa Serikali anaepokea sh 400000 kwa mwezi?
Heche na Mnyika ni matajiri sana hawalali njaa; Rais Samia na top official wanazo mawasiliano yao, ndugu zao wakitaka wanawaombea kazi serikali na wanapata ki urahisi.
Wanakusikitikia wewe unayekumbatia waendeshaji wa mifumo ya kinyonyaji.