Tetesi: Heche kuvamiwa na wasiojulikana

Tetesi: Heche kuvamiwa na wasiojulikana

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
13,553
Reaction score
57,843
Kabla jogoo hajawika atanikana Mara tatu huu ulikuwa ni ujumbe wa Yesu kwa wanafunzi wake'.

Kuna mashaka na wasiwasi kuwa muda ujao ndani ya ziara za kasikazini Heche atasalitiwa kwa kuchomwa na mtu wake wa karibu na kuchukuliwa na wasiojulikana na watakao itwa majambazi badae kwenye report

Chadema lindeni Viongozi wenu kweli kweli!!
 
Kabla jogoo hajawika atanikana Mara tatu huu ulikuwa ni ujumbe wa Yesu kwa wanafunzi wake'.

Kuna mashaka na wasiwasi kuwa muda ujao ndani ya ziara za kasikazini Heche atasalitiwa kwa kuchomwa na mtu wake wa karibu na kuchukuliwa na wasiojulikana na watakao itwa majambazi badae kwenye report

Chadema lindeni Viongozi wenu kweli kweli!!
Ramli chonganishi ni haramu kama nyama ya nguruwe mkuu.
 
Kabla jogoo hajawika atanikana Mara tatu huu ulikuwa ni ujumbe wa Yesu kwa wanafunzi wake'.

Kuna mashaka na wasiwasi kuwa muda ujao ndani ya ziara za kasikazini Heche atasalitiwa kwa kuchomwa na mtu wake wa karibu na kuchukuliwa na wasiojulikana na watakao itwa majambazi badae kwenye report

Chadema lindeni Viongozi wenu kweli kweli!!
Kwa lipi?
 
Kabla jogoo hajawika atanikana Mara tatu huu ulikuwa ni ujumbe wa Yesu kwa wanafunzi wake'.

Kuna mashaka na wasiwasi kuwa muda ujao ndani ya ziara za kasikazini Heche atasalitiwa kwa kuchomwa na mtu wake wa karibu na kuchukuliwa na wasiojulikana na watakao itwa majambazi badae kwenye report

Chadema lindeni Viongozi wenu kweli kweli!!
shenzi zako unatumalizia bando
 
Kwa Upepo wa kiSiasa uliyopo, sio rahisi huyo kufanyiwa hayo sasa

Unajua Tanzania ime-make headlines juu ya huo uchafu unaoendelea

Kwahiyo sidhani kama wanaweza kuruhusu hayo yakafanyika wakati huu
 
Jembe letu from sasa unaingia...
Snapchat-193596445.jpg
 
Mbinu itakuwa sasa wamebakiwa na hiyo tu.
Na huenda ikawa kweli maana sasa hivi baada ya kumrudisha DEO kwenye vumbi la chaki ni km ugomvi umepoa vile ama ndio safu ya utekaji inasukwa.
 
Kabla jogoo hajawika atanikana Mara tatu huu ulikuwa ni ujumbe wa Yesu kwa wanafunzi wake'.

Kuna mashaka na wasiwasi kuwa muda ujao ndani ya ziara za kasikazini Heche atasalitiwa kwa kuchomwa na mtu wake wa karibu na kuchukuliwa na wasiojulikana na watakao itwa majambazi badae kwenye report

Chadema lindeni Viongozi wenu kweli kweli!!
Kazi za shetani ni uharibifu..

Lazi za Makonda ni uuaji na uharibifu
 
Back
Top Bottom