Heche: Bwege alikuwa mpigania haki

Heche: Bwege alikuwa mpigania haki

Parabolic

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2013
Posts
2,750
Reaction score
2,635
8cbeb63d-3ba3-489a-959b-590a74f42a3d.jpg

e5f944a7-5797-4135-a766-7c9d7c0f9be7.jpg

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche amesema Mbunge wa zamani wa Kilwa Kusini, Suleiman Said Bungara maarufu Bwege, alikuwa mwanasiasa anayepigania haki za watu wake na Taifa kwa ujumla.
Ameyasema hayo leo Machi 31 katika mazishi ya Bwege wilayani Kilwa Mkoa wa Lindi.

Bwege alifariki Machi 30 akiwa anapatiwa matibabu hospitalini jijini Dar es Salaam.




 
Sijui kwa nini watu wema na wenye manufaa kwa nchi hawaishi maisha marefu,wale waovu, mafisadi, wauaji na watekaji ndiyo huishi maisha marefu. R I P Mzalendo Bwege.
 
Back
Top Bottom