Hebu WANAUME tukae kitako tujadili haya . . . .!!


Kama mwanamke anafanya kazi halafu anakuomba hela ya saluni,hiyo kazi si aiache?
 
Kwanza Eiyer umetumia lugha kali na ya kutufedhehesha.....inaonyesha jinsi gani wewe ni hovyo!
Ungekuja na kugha nzuri walau tungeweza kujadili ila hapa naona nyota tu ngoja niwahi zangu kulala!
Well noted mkuu!!
 
narudia tena your argument is soo personal we alwas differ,thats why nakuuliza una umri gani ,na ni kwanini mwalimu anafundisha darasani kuna watakao faulu vizuri,disco,fail why ask your self
 

Huyo mwanaume atakua amemuendekeza mwenyewe mkewe ndo maana.........kama mimi nafanya kazi nasisaidii majukumu yoyote(ambalo pia ni tatizo) nafikiri nitakua na aibu hata yakuomba sh 200 kwani najua pesa yangu haifanyii kitu chochote pale home ndo ije kuwa hela ya kwenda tengeneza nywele!!!! Mambo mengine huwa mnajitakia wenyewe,mwanzoni mnajifanya mapenzi mkishazoeana mnaona mzigo.......kudadadeki endeleeni kutimiza jukumu la salon si ulimlegezea toka mwanzo lol!
 
Hongera kaka kwakutoa mada nzuri kweli wanaume wa Kizazi hichi TUMESAHAU majukumu Yetu kuna wanaume wengi sasa hivi wanaokimbilia kuoa wanawake wenye uwezo wa Kifedha KWAKUOGOPA majukumu yao ni hii imekuwa ndo style ya maisha ya mjini. Hii inanikera kuona wanaume tunajikataa na kuwa tayari kuwa watumwa wa wanawake wenye fedha unakuta Kijana wa wa miaka 32 amewekwa ndani na mama 49 Kijana huyo hana kazi hana hata chumba cha kupanga hana mbele wala nyuma lakini anajiona yuko kwenye mstari sahihi wa maisha najiuliza je akijapata Mtoto cjui Mtoto atamuona Baba yake ni mzazi wa aina gani au ni vipi atatimiza malezi yake kwa Mtoto kama Baba. Hii ni ngumu Kukubali lakini Kizazi cha Mwanaume kina potea. S io shida sasa hivi kukuta vijana wakisema mi staki msichana nataka mama wakunilea sababu wasichana wa sku hizi ni pasua kichwa as if yeye ni mkubwa sana huyo mama hakupitia ujana. Tujiulize wazazi wetu waliwezeje kuoa mabinti wadogo nakuwavumilia mpaka wakazeeshana. Na dawa ya tatiizo nikuliface sio kukimbia wanaume turudishe heshima waliyopewa wazazi wetu zamani.
 

Mkuu umesomeka loud an clear!!
 
narudia tena your argument is soo personal we alwas differ,thats why nakuuliza una umri gani ,na ni kwanini mwalimu anafundisha darasani kuna watakao faulu vizuri,disco,fail why ask your self

as former president usa president said. you may not agree with me but atleast you know where i stand. sasa the point i find rather perplexing is u failure to supoort ur statement that my argument is personal. and mind u anyone given ample time cn find a suitable example to clarify their argument but that does not necessarily mean their argument is valid.
 

Duh!Nice one . . . . . . . . . . . .!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…