Hebu tuwekane sawa kwenye hili

Preta

JF-Expert Member
Nov 28, 2009
24,323
18,793
Kuna hii habari nilisikia wiki iliyopita clouds lakini haikunikalia vizuri sasa naomba maoni kutoka kwa wahusika.
Kwa kina dada walio wengi linapokuja swala la kutoka outing (mtoko) mara nyingi utakuta lazima atoke na shoga yake/zake, ni wachache sana ambao wanaweza kwenda sehemu peke yao kwa kinywaji, muziki au hata kwenye sherehe mbalimbali. Utakuta yuko radhi aingie gharama ili mradi aende na shoga yake je nia ni nini? kutokujiamini? woga au ni nini hasa, na je wakina kaka unapokuwa umemualika mdada kwa kinywaji,dinner etc unakuwa na mtazamo gani unapomuona amekuja na shoga yake/zake? Hebu tusaidiane kwa hili
 
Kuna hii habari nilisikia wiki iliyopita clouds lakini haikunikalia vizuri sasa naomba maoni kutoka kwa wahusika.
Kwa kina dada walio wengi linapokuja swala la kutoka outing (mtoko) mara nyingi utakuta lazima atoke na shoga yake/zake, ni wachache sana ambao wanaweza kwenda sehemu peke yao kwa kinywaji, muziki au hata kwenye sherehe mbalimbali. Utakuta yuko radhi aingie gharama ili mradi aende na shoga yake je nia ni nini? kutokujiamini? woga au ni nini hasa, na je wakina kaka unapokuwa umemualika mdada kwa kinywaji,dinner etc unakuwa na mtazamo gani unapomuona amekuja na shoga yake/zake? Hebu tusaidiane kwa hili
Preta hiyo blue hapo haijaeleweka unauliza mdada kutoka outing mwenyewe au akiwa amealikwa? Ulivyoiweka ni kama mwanadada vile mwanadada anatakiwa aende out mwenyewe iwe ni mziki au kwenye kinywaji mi sijakuelewa kabisa mpenzi
 
Kuna hii habari nilisikia wiki iliyopita clouds lakini haikunikalia vizuri sasa naomba maoni kutoka kwa wahusika.
Kwa kina dada walio wengi linapokuja swala la kutoka outing (mtoko) mara nyingi utakuta lazima atoke na shoga yake/zake, ni wachache sana ambao wanaweza kwenda sehemu peke yao kwa kinywaji, muziki au hata kwenye sherehe mbalimbali. Utakuta yuko radhi aingie gharama ili mradi aende na shoga yake je nia ni nini? kutokujiamini? woga au ni nini hasa, na je wakina kaka unapokuwa umemualika mdada kwa kinywaji,dinner etc unakuwa na mtazamo gani unapomuona amekuja na shoga yake/zake? Hebu tusaidiane kwa hili

Preta sio kutojiamini kwa mie kiukweli huwa nashindwa toka out alone cause unaweza kwenda sehemu ukabaki unashangaa shangaa tu huna hata wa kuongea nae na ukiwa unapenda lager kama nanihii unaweza jikuta umemaliza kreti la UHURU ...unakuwa hauko confotable ..mkiwa wawili na mnafahamiana ..inakuwa rahisi hata story zinaiva ...;)
 
je wakina kaka unapokuwa umemualika mdada kwa kinywaji,dinner etc unakuwa na mtazamo gani unapomuona amekuja na shoga yake/zake? Hebu tusaidiane kwa hili

Hapo najua huyu anataka "pazia". Na kama hali ndo hiyo huwa naondoka mwenyewe...bili atalipa yeye apo.....ustaarabu hakuna apo!
 
Hapo najua huyu anataka "pazia". Na kama hali ndo hiyo huwa naondoka mwenyewe...bili atalipa yeye apo.....ustaarabu hakuna apo!


wanaojieshimu/jitambua hawawezi kufanya hivto, ni tabisa mbaya kwa kweli, mtu kakualika mahali unabebana na frnds 2/3, tabia mbaya sana.
 
Kwanza, wengi wa wanaume huwa wanachelewa kwenye vi-date. Msichana anaweza kujikuta anasubiri hadi nusu saa. Kwa hiyo ukiwa na shosti wako unapata kampani wakati unamsubiri jamaa.

Sababu nyingine, wanaume ni wepesi kutaka kula kitumbua baada ya mtoko, hata kama ni mtoko wa kwanza. Na wasichana wengi hawana ujasiri wa kukataa kutoa kitumbua kutokana na ushawishi mkubwa walio nao wengi wa wanaume. Hivyo basi, kujiepusha na hili, wengi wa wasichana hupenda kutoka na marafiki zao katika maswala mazima ya kujiongezea confidence na kuepuka kutoa kitumbua kabla hata hakijaeleweka.
 
Kwanza, wengi wa wanaume huwa wanachelewa kwenye vi-date. Msichana anaweza kujikuta anasubiri hadi nusu saa. Kwa hiyo ukiwa na shosti wako unapata kampani wakati unamsubiri jamaa.

Sababu nyingine, wanaume ni wepesi kutaka kula kitumbua baada ya mtoko, hata kama ni mtoko wa kwanza. Na wasichana wengi hawana ujasiri wa kukataa kutoa kitumbua kutokana na ushawishi mkubwa walio nao wengi wa wanaume. Hivyo basi, kujiepusha na hili, wengi wa wasichana hupenda kutoka na marafiki zao katika maswala mazima ya kujiongezea confidence na kuepuka kutoa kitumbua kabla hata hakijaeleweka.


Okay noted!
 
Hapo najua huyu anataka "pazia". Na kama hali ndo hiyo huwa naondoka mwenyewe...bili atalipa yeye apo.....ustaarabu hakuna apo!

lol basi hii heading na maelezo nilikuwa sijaelewa ..Ni kutolewa out ndo unakusanya group au hata wewe mwenyewe ukiamua kutoka out?
 
Preta sio kutojiamini kwa mie kiukweli huwa nashindwa toka out alone cause unaweza kwenda sehemu ukabaki unashangaa shangaa tu huna hata wa kuongea nae na ukiwa unapenda lager kama nanihii unaweza jikuta umemaliza kreti la UHURU ...unakuwa hauko confotable ..mkiwa wawili na mnafahamiana ..inakuwa rahisi hata story zinaiva ...;)

lakini mbona mwanaume yeye huwa anaweza kwenda mahali mwenyewe na akaenjoy tu?
 
Kwanza, wengi wa wanaume huwa wanachelewa kwenye vi-date. Msichana anaweza kujikuta anasubiri hadi nusu saa. Kwa hiyo ukiwa na shosti wako unapata kampani wakati unamsubiri jamaa.

Sababu nyingine, wanaume ni wepesi kutaka kula kitumbua baada ya mtoko, hata kama ni mtoko wa kwanza. Na wasichana wengi hawana ujasiri wa kukataa kutoa kitumbua kutokana na ushawishi mkubwa walio nao wengi wa wanaume. Hivyo basi, kujiepusha na hili, wengi wa wasichana hupenda kutoka na marafiki zao katika maswala mazima ya kujiongezea confidence na kuepuka kutoa kitumbua kabla hata hakijaeleweka.


hata kama kachelewa wewe huwezi kuendelea na kinywaji chako ukimsubiri?
....hiyo sababu ya pili sorry lakini ni ya kujinga mno nashindwa kuielezea.
 
Kwanza, wengi wa wanaume huwa wanachelewa kwenye vi-date. Msichana anaweza kujikuta anasubiri hadi nusu saa. Kwa hiyo ukiwa na shosti wako unapata kampani wakati unamsubiri jamaa.

Sababu nyingine, wanaume ni wepesi kutaka kula kitumbua baada ya mtoko, hata kama ni mtoko wa kwanza. Na wasichana wengi hawana ujasiri wa kukataa kutoa kitumbua kutokana na ushawishi mkubwa walio nao wengi wa wanaume. Hivyo basi, kujiepusha na hili, wengi wa wasichana hupenda kutoka na marafiki zao katika maswala mazima ya kujiongezea confidence na kuepuka kutoa kitumbua kabla hata hakijaeleweka.
mmhhh!
NOTED AGAIN
 
lol basi hii heading na maelezo nilikuwa sijaelewa ..Ni kutolewa out ndo unakusanya group au hata wewe mwenyewe ukiamua kutoka out?[/QUOTE]

ni katika hali zote mbili, ila katika kutolewa ni pale ambako wahusika hawana mazoea ya sana
 
hata kama kachelewa wewe huwezi kuendelea na kinywaji chako ukimsubiri?
....hiyo sababu ya pili sorry lakini ni ya kujinga mno nashindwa kuielezea.

You missed the point, je ni lazima uyaelezee mawazo ya mchangiaji mwenzio? Nilidhani ungeyadiscuss.
 
lakini mbona mwanaume yeye huwa anaweza kwenda mahali mwenyewe na akaenjoy tu?


mie naweza kutoka mwenyewe, tena natokaga sana sana tu, nina hela yangu naenda mahali ninapopapenda napata kinywaji najirudia home....
 
You missed the point, je ni lazima uyaelezee mawazo ya mchangiaji mwenzio? Nilidhani ungeyadiscuss.

pole kama nili mic point lakini nicngeweza ku discuss hiyo niliyo ku qoute hapo chini, khaaa kazi ipo.

"Na wasichana wengi hawana ujasiri wa kukataa kutoa kitumbua kutokana na ushawishi mkubwa walio nao wengi wa wanaume"
 
Preta sio kutojiamini kwa mie kiukweli huwa nashindwa toka out alone cause unaweza kwenda sehemu ukabaki unashangaa shangaa tu huna hata wa kuongea nae na ukiwa unapenda lager kama nanihii unaweza jikuta umemaliza kreti la UHURU ...unakuwa hauko confotable ..mkiwa wawili na mnafahamiana ..inakuwa rahisi hata story zinaiva ...;)

Mimi nadhani Preta anazungumzia swala la mdada kuitwa mahali na Jamaa, sasa badala ya kwenda peke yake anamchukua mtu mwingine wanongozana nae.

Hii tabia ni ya kawaida sana kwa kina dada, kuna sababu kibao lakini nahisi moja wapo ni kulipa fadhila kwa shoga yake inawezekana mtoko uliopitwa nae alichukuliwa na shoga yake kweya kupata ma-lager na vyuku somewhere.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom