Shabiki namba moja wa Newcastle United Tanzania
The Magpies
Toon Army
HowieTheLad
Na soka ndiyo ulevu wangu namba moja
Napenda kubet saaaaaaaaanaaa
Namkubali Samuel Eto'o Phils
Nina uchizi na muziki hasa wa nyimbo za injili
Napenda sana kazi za Suleimani Wilson (unaweza tafuta nyimbo zake na kunipa mrejesho) Napenda kuimba kwa kupiga kelele sana naposikiliza muziki
Sizipendi Smba na Yanga kutoka moyoni natamani siku moja zishuke daraja