Sisi teamZizzou hii siku tulifurahi sana.basi kama kuna siku niliichukia real madrid ni pale real ramos anamvuja mkono salah...karius anatuchoma bale anatutungua benzema anatutunguaaise ile game sitasahau
mkuu unaonekana umri umeenda kidogo1988
Yanga ilihitaji sare itawazwe bingwa. Yangu akishinda Simba anateremka daraja.
Laahaula walakuwwata.
Sahau Kambi si achomoe betri bwana. Mwisho wa gemu SIMBA 2 YANGA 1. Ubingwa huooo kwa Coastal Union ya Tanga. Wiki mzima roho inaniuma, ukizingatia nienda usanjani na matokeo yangu mfukoni safari ya kurudi KIBAHA ilikuwa nzito mno.
DK 10 za mwisho nilikuwa poriniAguerooooooooooooooooo...!
Niliacha kushabikia mpira kwa muda, ila baadaye machungu yalipoa.
Sana si kidogo. 50+mkuu unaonekana umri umeenda kidogo
hongera mkuuSana si kidogo. 50+
Wakati huo nauli ya Kibaha - Sokoni Kariakoo sh.15/- ni mwendo wa dakika 45 tu.Ukifanikiwa kupanda KAMATA ni nusu tu ya hiyo nauli.mkuu unaonekana umri umeenda kidogo
Kuna mwaka nimeusahau mtanikumbusha. Yanga alikuwa anaongoza ligi kwa point 2 zaidi ya simba, mtibwa (kama sijakosea) alikuwa nafasi ya pili kamzidi simba point 1, simba akiwa anashika nafasi ya tatu na kila mtu amebakiwa na mechi moja zote zinachezwa siku moja. Ubingwa ulikuwa kati ya yanga au mtibwa simba hakuwa kwenye hesabu za ubingwa. Siku hiyo RTD hawakutangaza mechi yoyote kwa hiyo kila mtu alikuwa anasubiri saa mbili kasorobo asikie yanga au mtibwa atangazwe bingwa. Mbili kasoro mtangazaji anaanza kwa kusema SIMBA BINGWAAA.
mkuu nimecheka sanaacha kabisa mkuu nakumbuka baba alishindwa kuvumilia akaamua kuzima radio na kwenda zake kuzurula
zamalek ama al~ahlyKila nikikumbuka Jinsi Said Bahanuzi alivyokosa penalty ya Yanga dhidi ya Zamalek naishiwa nguvu mpaka Leo
mkuu wewe acha tumkuu nimecheka sana
pole sanaAnapoteza maisha Marc Vivien foe akiwa amevaa jezi ya taifa lake akipambana uwanjani nikiwa mshabiki wake mkuu maumivu niliyopata huwa nayafeel hadi leo
Hiyo mechi Cameroon walishinda lkn.. nilimwaga machozi balaa
RIP Marc Vivien foe
1988
Yanga ilihitaji sare itawazwe bingwa. Yangu akishinda Simba anateremka daraja.
Laahaula walakuwwata.
Sahau Kambi si achomoe betri bwana. Mwisho wa gemu SIMBA 2 YANGA 1. Ubingwa huooo kwa Coastal Union ya Tanga. Wiki mzima roho inaniuma, ukizingatia nienda usanjani na matokeo yangu mfukoni safari ya kurudi KIBAHA ilikuwa nzito mno.
Usiku wa may 17 kule da Lois II,Arsenal 1 vs 2 Barcelona 2006,
Huenda ulikua usiku mbovu Sana kwangu kuwahi kutokeaa,
Wanaume walipambana Sana ila tulilala na viatu,wiki nzima nilikua najiuliza kwanini Yule refa Massimo busacca kutoka 'uswizi' asingemuacha Jens lehman 'mikono mia' aendelee na mechi!!,kwnini aliamua kutuharibia ile mechi!!,
Dah!!! You can't imagine Yale machungu Hadi leo ninayo.
Sent using Jamii Forums mobile app