EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,525
Hakuna siku niliumia kama siku JT wa Chelsea kutukosesha UCL kwa kukosa penati ya mwisho dhidi ya Man U ilikuwa 2008 mjini Moscow.
Saivi tungekuwa tunahesabu 2 UCL CUPS
Hebu tiririka mechi gani ilikuuma sana.
Saivi tungekuwa tunahesabu 2 UCL CUPS
Hebu tiririka mechi gani ilikuuma sana.