Mwaka 2015 kulikuwa na wapiga kura milioni 16. Leo tunaabiwa Kuna wapiga kura milioni 29, yaani nyongeza ya wapiga kura milioni 13 ndani ya kipindi cha miaka mitano.
IDADI YA WAPIGA KURA:
Toka tupate uhuru, mpaka wakati wa uchaguzi uliopita idadi yawatu ilikuwa milioni 56, wapiga kura milioni 16 sawa na asilimia 28.6%. ya watu wote wa Tanzania. Ndani ya miaka mitano tu, wapiga kura wameongezeka kutoka milioni 16 hadi milioni 29 huku idadi ya watu ikikaribia milioni 60. Wapiga kura Sasa Ni asilimia 50% ya watanzania wote huku tukijua kuwa watoto chini ya miaka 18 walivyojaa mashuleni, achilia mbali wasiojiandikisha.
Kumbukumbu kuwa watu waliisha at tamaa ya uchaguzi kufuatia figisufigisu zinazoendelea ktk chaguzi za siku hizi haza za serikali za mitaa zilizopita, na pia kitendo Cha CCM kupiga kampeni peke yao katika miaka yote mitano ya awamu ya uongozi was ngumi ya chuma. Hakukuwa na mwitikio mkubwa wa watu kujiandikisha kwa wapiga kura wapya, na wapiga kura wengi wa zamani wamekufa. We angalia takwimu za watoto waliozaliwa kijijini kwako linganisha na waliokufa.
Hofu yangu, wasiwasi wangu, nikweli idadi ya wapiga kura inaweza kuwa imeongezeka kwa asklimia 30% katika kipindi cha miaka mitano tu?
Hizi si takwimu za kujiwekea kura kibindoni za kuja kuongezea kwenye zitakazopatikana katika maboksi ya kura halali?
AJIRA:
Tunaambiwa serikali imetengeneza ajira ya watu milioni 6!!. Kweli kabisa hili linaingia akilini mwa mtu makini? Hawa Ni wanajeshi?, Ni waalimu?, Madaktari?, Machinga?, Polisi?, Wachimba migodi? Wafanyakazi viwandani au Ni watu gani hao. Kila mtu aangalie Ni jirani yake yupi kaajiriwa na yupi kapoteza kazi! Sioni uhalisia wa Jambo hili.
Mimi naona timu za ligi kuu zinapunguzwa, wachezaji na makocha wanapoteza kazi.
Naona korona inafuta watu kazi,
Naona TRA wanafukuza wawekezaji
Naona maduka yanafungwa
Sasa nasikia idadi ya ajira itafika hadi milioni 8. Hao wahitimu wanatoka wapi?
IDADI YA WAPIGA KURA:
Toka tupate uhuru, mpaka wakati wa uchaguzi uliopita idadi yawatu ilikuwa milioni 56, wapiga kura milioni 16 sawa na asilimia 28.6%. ya watu wote wa Tanzania. Ndani ya miaka mitano tu, wapiga kura wameongezeka kutoka milioni 16 hadi milioni 29 huku idadi ya watu ikikaribia milioni 60. Wapiga kura Sasa Ni asilimia 50% ya watanzania wote huku tukijua kuwa watoto chini ya miaka 18 walivyojaa mashuleni, achilia mbali wasiojiandikisha.
Kumbukumbu kuwa watu waliisha at tamaa ya uchaguzi kufuatia figisufigisu zinazoendelea ktk chaguzi za siku hizi haza za serikali za mitaa zilizopita, na pia kitendo Cha CCM kupiga kampeni peke yao katika miaka yote mitano ya awamu ya uongozi was ngumi ya chuma. Hakukuwa na mwitikio mkubwa wa watu kujiandikisha kwa wapiga kura wapya, na wapiga kura wengi wa zamani wamekufa. We angalia takwimu za watoto waliozaliwa kijijini kwako linganisha na waliokufa.
Hofu yangu, wasiwasi wangu, nikweli idadi ya wapiga kura inaweza kuwa imeongezeka kwa asklimia 30% katika kipindi cha miaka mitano tu?
Hizi si takwimu za kujiwekea kura kibindoni za kuja kuongezea kwenye zitakazopatikana katika maboksi ya kura halali?
AJIRA:
Tunaambiwa serikali imetengeneza ajira ya watu milioni 6!!. Kweli kabisa hili linaingia akilini mwa mtu makini? Hawa Ni wanajeshi?, Ni waalimu?, Madaktari?, Machinga?, Polisi?, Wachimba migodi? Wafanyakazi viwandani au Ni watu gani hao. Kila mtu aangalie Ni jirani yake yupi kaajiriwa na yupi kapoteza kazi! Sioni uhalisia wa Jambo hili.
Mimi naona timu za ligi kuu zinapunguzwa, wachezaji na makocha wanapoteza kazi.
Naona korona inafuta watu kazi,
Naona TRA wanafukuza wawekezaji
Naona maduka yanafungwa
Sasa nasikia idadi ya ajira itafika hadi milioni 8. Hao wahitimu wanatoka wapi?