Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,366
mi naangalia tu...........
Join date jama.............ohooooo!!!
shaurilo.............vibichiiii vya 2012!!!
Kaaaziii ni kwako Kimey and Asprin
Last edited by a moderator:
mi naangalia tu...........
Imekaa vizuri ila nabibi kwanza usome hisia za mwanaume make wengine ukimafinyia ma utundu anakuchukulia kuwa wewe ni malaya.na kila mwanamme ana namna anayoipenda kwenye bed. wengine viuno wengine koni wengine malalamiko na kadhalika, jiongezeni akina dada make la sivyo mtakua walinzi wa nyumba.
Hahahahah BADILI TABIAAsprin,
hili si tu kwa akinadada hata akina kaka pia......
mwenzio akila koni, nawe nenda uvinza..... sio ukatae kwenda uvinza uonze oooh kuna fangus, nilisoma jf kuwa haifai shaurilo.......hadi kuleee kunanyonywa , ukisema huko kwa kutolea chakula kilichotumika mwilini shaurilo....(hapa nasisitiza kunyonywa tu si vinginevyo tafadhali...)
mwili wa mpenzio ni wako ulambe, unyonye, utafune fanya yooooooooooote......
kama una kinyaa kuna asali au chocolate unaweza tumia kupeana mzuka...
kingine usafi jamani usafi, usafi kuanzia nje ya nyumba hadi chumbani...usafi kuanzia kucha hadi miguuu...
ninaposema kuanzia kucha hadi miguu sizungumzii kubandika kucha la hasha bali kuwa katika hali ya usafi.....
na nyie wanaume pia, umetoka mihangaikoni ukifika home , sio tu kumparamia mwenzio ilhali mijasho inakutoka, kikwapa kinatema, la hasha jiswafi pia........
na wanawake waliozaa, sio kuwa rough, maziwa kutiririka la hasha, kuwa smart babayoyoo akirudi afurahi...
Kutokana na uzi huu hapa.........https://www.jamiiforums.com/mahusia...-kwa-nini-ulinimwaga-why-did-you-dump-me.html.......inatulazim wadada tuelewe kitu kimoja.......
Huwa tunajiuliza kwa nini mwanaume amenicheat.....sasa iko hivi.....
Men cheat where you don'e expect....Ukidhani kwamba kwa uzuri wako na elimu yako basi ndo hatatoka,unajidanganya..ukidhani kwa kujipamba na kujiremba na kunukia vizuri ndio utamshika,unajidanganya...Siri ya kumshika mwanaume iko kwenye vitu ambavyo wanawake wengi wa kisasa hawana muda wa kuvifanya..
Wanajiona wao wamevuka stage hiyo na hawapaswi kufanya kivileeee...Huku ni kujisahau na ni kosa kubwa sana...Girls should always manage their Artistic Rhyme on Bed...Bed is everything to a Man..
Wanawake wengi,wanakazana kuwa Classic,ukiwaona kwa nje ni warembo kwelikweli,ingia nao kwenye penalty box...ZIROOO!!
Wanawake wabaya,wanajijua wao ni wabaya,na hawawezi kushindana na wewe kwenye Mvuto na Muonekano,lakini amini usiamini,wako super ikija suala la Kitanda...Super kuliko..Utakaa na urembo wako,na utampoteza vilevile...Kila akiwaza wapi pa kupata game, wewe utabakia kuwa 2nd choice..The Ugly looking girl will always be the 1st priority because shes the ugliest on Bed..Mapenzi hayana kuremba,ni kazi tu na always the ugliest wins......
Mwenye masikio na asikie......
Himmie Kimey,Hebu kaprint kadi nyingine za kujiunga ISC bana, kuna members kibaoo wanahitaji!
BTW alichosema Preta itabidi wakizingatie....
Vigezo na masharti kuzingatiwa...... si unajua mtaa wa pili mkoloni kazengua? Ningekurushia ufanye upembuzi yakinifu. Kwa kuanzia Kimey waonaje nikikupa BADILI TABIA hutapreez kabla hajakulamba?hahahaha Hommie ndo nilitaka kushangaa hapa! sasa hebu nipe mjukuu mmoja niruke nae Preta keshawapa maujanja
Hahahahah BADILI TABIA
Kwa leo imetosha, nimeshiba......
Kilichobaki ni vitendo. Nakusubiri PM kule tujadiliane mambo ya preezing mpaka tufikie preezing point...:hat:
Ukifika hapo kwa wanaume nadhani itabidi nikupokee kijiti. Vijana siku hizi wananiuzi sana bana... wamekuwa wazembe mpaka vibinti vinafanyana vyenyewe kwa vyenyewe...Khaa!
Stuka!!!!Hahahahah BADILI TABIA
Kwa leo imetosha, nimeshiba......
Kilichobaki ni vitendo. Nakusubiri PM kule tujadiliane mambo ya preezing mpaka tufikie preezing point...:hat:
Vigezo na masharti kuzingatiwa...... si unajua mtaa wa pili mkoloni kazengua? Ningekurushia ufanye upembuzi yakinifu. Kwa kuanzia Kimey waonaje nikikupa BADILI TABIA hutapreez kabla hajakulamba?
Vigezo na masharti kuzingatiwa...... si unajua mtaa wa pili mkoloni kazengua? Ningekurushia ufanye upembuzi yakinifu. Kwa kuanzia Kimey waonaje nikikupa BADILI TABIA hutapreez kabla hajakulamba?
Vigezo na masharti kuzingatiwa........:focus:hahaha hommie vp umeshakagua hapo?