Hebu soma hapa!!

MAMMAMIA,habari yako?......Unaposema mwenye tabia chafu hapendeki nadhani unamaanisha tabia ya kwenye uhusiano...Naomba utofautishe kati ya kutompenda mtu na KUAMUA kutokuishi na mwenye tabia chafu,kutokuishi na mwenye tabia chafu haina maana unamchukia ila ni hatari kuishi nae kama mwandani wako kwani atakuumiza kihisia na kukujengea mazingira ya kupata Ukimwi,na haya yote yatakusababishia kifo lakini mtu huyu huyu mnaweza mkashiriki kwenye mambo mengine ya maisha.Kama unapenda na kutegemea kurejeshewa upendo hujui kupenda kwa mujibu wa tafsiri yangu,upendo wako tayari una masharti.Kwanza fahamu kuwa unatakiwa umpende kila mwanadamu bila kujali kama na wao wanakupend.Kwenye ndoa/mahusiano ya mapenzi kuna baadhi ya tabia unatakiwa uziangalie kwa usalama wako coz huyu mtakua nae karibu sana na mtashare karibu kila kitu!Kuchukua tahadhari hii haina maana unamchukia,masharti wanayokua nayo wasiojua upendo[kwa tafsiri yangu]ni wale ili uwe rafiki au mpenzi wao ni lazima uwe na sura flani,fedha,mrefu,mweupe n.k,mambo ambayo hayana mashiko!
 
There is no need to substantiate, haina haja ya kufafanua zaidi. Eiyer umemaliza na huo ndo upendo. In another description upendo/love is an intensive feeling of caring for somebody. Reak love doesn't hurt nor having emotional or physical abuse. Haijarishi umpendae yukoje, anafanya nini na anatabia gani, ukipenda umependa. But nasikitika kusema kua upendo huu niuongeleao umekua ukitoweka kidogo kidogo siku hizi na kutawaliwa na upendo ambao kwa lugha ya wenzetu tunauita 'lust' . Unajikuta unapenda but in a real sense hujapenda bali umetamani. Unatamani kitu flani ambacho huyo mtu anapossess, anacho. Na upendo wa aina hii huisha na hata kunyauka na kufa kabisa baada ya muda. Sidhani kama natofautiana na wachangiaji wengine.
 
Fydell,uko sawa kabisa na siongezi neno hapo!
 
Tangu tumezaliwa tumesikia neno UPENDO,mimi binafsi wazazi wala shule sikuwahi kuambiwa maana ya hili neno!Nilikuja kulitafuta mwenyewe!Nakumbuka kwenye mafundisho ya dini tulikua tunaambiwa tupendane,nyumbani hivyohivyo.Nilipokua nikajua kuna kumpenda mwanamke,hawa walionieleza kuhusu upendo hawakuwahi kunifafanulia,nikajiuliza kuna tofauti kati ya kumpenda mama yangu na jirani yangu pia vipi kuhusu mwanamke?Nilibaki mtupu!Lakini niliamua kutafuta maana na nimepata tafsiri hii;Upendo ni kumkubali mtu bila masharti.Yaani kama ni mwanao sio mpaka afaulu mtihani ndo apendwe,kama ni jirani rio mpaka awe na pesa ndo apendwe,upendo ni kutoa tu bila kujali unaempenda anakurudishia nini,yaani wewe ni kutoa tu,na ukiwa hivi hautaona shida kuishi na mke/mume mkorofi.ANGALIZO,kwenye ndoa ni hatari kuishi na mtu mwenye tabia za hatari kama kupiga,kufuja,kudhalilisha n.k,hapa unatakiwa usitishe haya mahusiano,kufanya hivi haimaanishi unamchukia.Unaweza ukatengana nae lakini mkawa pamoja kwenye mambo mengine.Sasa kama niko sahihi,kuna upendo siku hizi?Na kama siko sahihi,tafsiri yako ni muhimu hapa,tuambie......

....dahhhh, Eiyer...?
 
MAMMAMIA,habari yako?......Unaposema mwenye tabia chafu hapendeki nadhani unamaanisha tabia ya kwenye uhusiano...Naomba utofautishe kati ya kutompenda mtu na KUAMUA kutokuishi na mwenye tabia chafu,kutokuishi na mwenye tabia chafu haina maana unamchukia ila ni hatari kuishi nae kama mwandani wako kwani atakuumiza kihisia na kukujengea mazingira ya kupata Ukimwi,na haya yote yatakusababishia kifo lakini mtu huyu huyu mnaweza mkashiriki kwenye mambo mengine ya maisha.Kama unapenda na kutegemea kurejeshewa upendo hujui kupenda kwa mujibu wa tafsiri yangu,upendo wako tayari una masharti.Kwanza fahamu kuwa unatakiwa umpende kila mwanadamu bila kujali kama na wao wanakupend.Kwenye ndoa/mahusiano ya mapenzi kuna baadhi ya tabia unatakiwa uziangalie kwa usalama wako coz huyu mtakua nae karibu sana na mtashare karibu kila kitu!Kuchukua tahadhari hii haina maana unamchukia,masharti wanayokua nayo wasiojua upendo[kwa tafsiri yangu]ni wale ili uwe rafiki au mpenzi wao ni lazima uwe na sura flani,fedha,mrefu,mweupe n.k,mambo ambayo hayana mashiko!
Poa! Nilikusudia yote mawili, iwe katika uhusiano wa kimapenzi na/au uhusiano wa kirafiki na kifamilia. Lakini tuangale kwenye ndoa ambako umekuzungumzia zaidi na hapa ninanukuu maelezo yako ya awali: [kwenye ndoa ni hatari kuishi na mtu mwenye tabia za hatari kama kupiga, kufuja,kudhalilisha]. Hayo mawili ya mwanzo mara nyingi huwafika akina dada na mama zetu na hilo la kati anaweza kuwa yeyote.

Fikiria kwa mfano mume anayemdunda kila siku mpaka kumwacha na kilema, anayemdhalilisha hata mbele ya watoto na majirani; au mke/mume ambaye kila kiingiacho ndani kinayeyuka (kwa kutaka makuu, kuhonga, ulevi, kamari n.k.). Au mwenza ambaye kwa ucheche wake amemuambukiza mwenzake ukimwi kwa makusudi, unataka kuniambia, mbali na hatari, bado unataka kuniambia mtu wa aina hiyo umpende?

Pengine unisaidie nini maana ya chuki na husababishwa na nini, au kama kumeumbwa mapenzi hakukuumbwa chuki.
 
MAMMAMIA,Yes huyo mwenye tabia hizo yes mpende lakini usiwe nae kama mwandani wako!Just like i said be4,kupenda kuna maana ya kumkubali mtu KAMA ALIVYO,so usiangalie tabia zake we penda tu,but when it comes mke/mume ndo unatakiwa uangalie!Mungu hajaumba chuki,mwanzilishi wa chuki ni Shetani!
 
Back
Top Bottom