Hebu nitajieni sifa tano za kuifanya CHADEMA kushinda uchaguzi 2015

Watumishi wa umma watabaki wa umma hapa upinzani ukishika madaraka. Humo kuna watendaji wengi wazuri, wanaweza kuwa wakuu wa mikoa na wilaya. Hata wengine graduates watajoin na kuongoza chama.
 
yeeeethuuuu na maria!!!!!!!!!!!!!!!!
1) Maadili mabovu, ushahidi: Katibu Mkuu kuzaa nje ya ndoa (na mchumba)

2) Uvunjifu wa amani, ushahidi: Wamepewa mtaa wamemla mtu sikio kwa kuwanyima chumba cha kufanyia uzinifu wakipewa nchi? nani atabaki na masikio?

3) Hawana muelekeo, ushahidi: Vijana wao wanalumbana Mwenyekiti na Naibu wake.

4) Hawaheshimu fedha za walipa kodi, ushahidi: Kulipia walinzi wa kanisa mishahara na kulipia hausigeli wa "mchumba" per diem. Kukwepa kulipa kodi.

5) Uongo na uzushi, ushahidi: Kontena la karatasi za kura feki, mpaka leo halijaonekana.

6) Wanataka kuigawa nchi, ushahidi: Kauli za Nassari hivi karibuni.
 
Watumishi wa umma watabaki wa umma hapa upinzani ukishika madaraka. Humo kuna watendaji wengi wazuri, wanaweza kuwa wakuu wa mikoa na wilaya. Hata wengine graduates watajoin na kuongoza chama.
Mbona bado unafikra ndogo hivyo? usitarajie cheo cha Ukuu wa Mkoa au Wilaya kitakuwepo ndani ya utawala wa CDM kwani hakuna kazi yeyote inayofanywa na wakuu wa Mikoa na Wilaya zaidi ya kulinda maslahi ya chama cha CCM.
 
Mnaenda mbali, hili swali rahisi sana; sifa tano za Chadema kuchukua madaraka 2015 ni kinyume cha zile sifa mbaya 100 CCM walizonazo kwa sasa.
 
ungetoa zako tano ili na sisi ukupe zetu!acha unafiki ,M4C iko juuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
 
nimetafakari weeeee,nahisi nimetata jibu..na jibu lenyewe ni

sifa moja
sifa mbili
sifa tatu
sifa nne
sifa tano

aya tayari nimetaja sifa tano,CHADEMA WATASHINDA 2015
 
Back
Top Bottom