Hebu kuwa jaji hapa!

Hebu kuwa jaji hapa!

Nokla

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2012
Posts
3,190
Reaction score
1,780
Wanandoa wameoana,,siku ya pili tu wamepelekana kwa padri... padri akawauliza nini tena?
MKE AKASEMA: nilifikiri iko hivi
==========>
ama hivi
======>
kumbe hivi
==>
Bora talaka...
MUME NAE AKASEMA: nilifikiri hivi
(..)
ama hivi
( .... )
kumbe hivi
(........ )
bora nimpe talaka!
padri akabaki mdomo wazi.Toa maoni yako,kati ya hawa wanandoa wawili ni yupi mwenye haki ya kumwacha mwingen
 
Nitamchukua mwanamke nikahakikishe kabla ya kutoa hukumu
 
mwanaume ndio anambwaga mwanamke bana weye!!!
 
Huyu mme bora ampe tu taraka atuachie sisi wenye hivi ==================>
 
huyo mbona hajui kuitumia mashine yake? angekuwa anajua wala wasingekwenda kwa padri.
Nalog off
 
Back
Top Bottom