Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
Dreva Mwakitosi ambae anaendesha Fuso kampuni moja ya kuuza maji ya kunywa, hii cku anatokea Dar kwenda Mwz, kufuatia hali ya joto njiani akawa amevua shati anaendesha kifua wazi, mara ghfl wanakutana na Boss wake ikawa hivi :-
Boss : inakuaje unaendesha gari kifua wazi? Huoni italeta picha ya madereva wng ni wahuni?
Dreva : mzee yote shauri ya joto mzee.
Boss : Sasa itabidi uendelee kubaki kwny hiyo Fuso nilikua nahitaji nikuhamishie kwny ile Scania semi sasa naona kule ndy utavua na suruali utaendesha umebaki na chupi!
Boss : inakuaje unaendesha gari kifua wazi? Huoni italeta picha ya madereva wng ni wahuni?
Dreva : mzee yote shauri ya joto mzee.
Boss : Sasa itabidi uendelee kubaki kwny hiyo Fuso nilikua nahitaji nikuhamishie kwny ile Scania semi sasa naona kule ndy utavua na suruali utaendesha umebaki na chupi!