Hebu acheni dharau!!!

Hebu acheni dharau!!!

Chizi Msomi

Senior Member
Joined
Jun 23, 2026
Posts
129
Reaction score
219
Hebu acheni dharau kilamtu ana maisha yake iweje mtu anamiliki infinix wewe unamilik iphone au samsung unaanza kutukana na kuropoka ety infinix ni kifaa cha kuhifadh line unajua kipato chake? au unabwabwaja tu kufuata mkumbo a new way situmii smartphone lkn nahshimu sana kitu anachomiliki so kama uwezo wako ni samsung 1M usiphos mwenye 1.5k amiliki samsang kila mtu na maisha yake acheni kuponda watu humjui mtu kipato chake unaanza kubwabwaja oooh jamaa anamilik sm ya bei ndogo!

NAFUPISHA:
acheni shobo kila mtu na maisha yake
kila mtu na kipato chake

IMEISHA IYO;
 
Zote ni cm sema zimetengenezwa madaraja tofauti kwa sababu kuna watu wenye uwezo wa chini
 
Ni ushamba na umaskini tu ndo unawasumbua watu, cha muhimu ni kwamba salio lako Benki liko vizuri na Una assets imara kweli pamoja cashflow inayoeleweka, mengine ya simu sijui nini ni mbwembwe ambazo hazihitaji kelele... Kama kweli unatumia simu za bei chee na pesa wala Mali Huna basi unaweza kujihisi unyonge kweli lakini iwe chachu ya ww kupambana, puuza Tu maana watz tunapenda attention & validation.
 
Ni ushamba na umaskini tu ndo unawasumbua watu, cha muhimu ni kwamba salio lako Benki liko vizuri na Una assets imara kweli pamoja cashflow inayoeleweka, mengine ya simu sijui nini ni mbwembwe ambazo hazihitaji kelele... Kama kweli unatumia simu za bei chee na pesa wala Mali Huna basi unaweza kujihisi unyonge kweli lakini iwe chachu ya ww kupambana, puuza Tu maana watz tunapenda attention & validation.
Saf comment bora ya mwaka
 
Halafu sijui kwanini watu masikini wanapenda sana simu za gharama kubwa!

Unakuta mdada amebomolewa kinyeo mpaka anavuja mbolea nyuma kisa tu amiliki MACHO MATATU.

Jamani, mtapasuliwa utumbo mpana, jitahidini sana kuuza hata matunda na mbogamboga.

Sisi mabosi hata tukitumia MOTOROLA BAPA hatuna wasiwasi.

Shida hawa MAKAJAMBA NANI anaweza kuuza hata figo ili apate IPHONE, matokeo yake wanafumuliwa haswa vinyeo vyao kwa mkopo wanaishia kupewa IPHONE zilizochoka.

Cc: Lamomy Mbaga Jr secretarybird Poor Brain
 
Naona mmevamia jukwaa kufanya propaganda zenu, sijiui kama mtaweza kuushinda ukweli na uhalisia
 
Halafu sijui kwanini watu masikini wanapenda sana simu za gharama kubwa!

Unakuta mdada amebomolewa kinyeo mpaka anavuja mbolea nyuma kisa tu amiliki MACHO MATATU.

Jamani, mtapasuliwa utumbo mpana, jitahidini sana kuuza hata matunda na mbogamboga.

Sisi mabosi hata tukitumia MOTOROLA BAPA hatuna wasiwasi.

Shida hawa MAKAJAMBA NANI anaweza kuuza hata figo ili apate IPHONE, matokeo yake wanafumuliwa haswa vinyeo vyao kwa mkopo wanaishia kupewa IPHONE zilizochoka.

Cc: Lamomy Mbaga Jr secretarybird Poor Brain
Umenena kiutu uzima.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom