Nimeambiwa naumwa marchiafava bignami mkuu. Ndio nn?nipo dodoma kwa sasa
nataka kuja ofisin...ofisi zipo wapi...
ushauri ni bure
ubarikiwe.
Huyo jamaa yupo kitu cha Dom! (refers post nö 3)
Na kwa vile wewe upo jiji la lawama, hata mimi ni dakitari!
Na kwa wewe, sikutopa ushauri tu, bali nitakutibu bureeeeeee...!
wewe tu na roho yako!
Uzi huu nimeuanzisha makhususi kwa ajili ya kuwasaidia watanzania wenzangu ambao hawana uelewa wa mambo ya afya ili waweze kujipatia ushauri wa afya kuhusu magonjwa mbalimbali ya binadamu.
Mnakaribishwa 0759212578, muda ni kuanzia sa 12 jioni hadi saa 5 usiku.
Karibuni.
Uzi huu nimeuanzisha
makhususi kwa ajili ya kuwasaidia watanzania wenzangu ambao hawana
uelewa wa mambo ya afya ili waweze kujipatia ushauri wa afya kuhusu
magonjwa mbalimbali ya binadamu.
Mnakaribishwa 0759212578, muda ni kuanzia sa 12 jioni hadi saa 5 usiku.
Karibuni.