Ushawah kulogwa ndan ya jf?
unamtisha nani ssa?Ushawah kulogwa ndan ya jf?
<br />Mh.. Heri yako heading yako na maelezo vimeendana... Pole, wakati mwingne headng znawekwa kuvutia wasomaji..
Kuna jukwaa la compalaints & congulats, hii thread ilipaswa kuwa huko na sio jukwaa hili. na wewe unaingia kwenye kundi lile lile jukwaa ulilotumia haliendani na maelezo yako.First of ol,nawapenda wanajf,..jaman,mbona hizi headings cjui titles sometimes na maelezo vinakuwa haviendani,2navutiwa na titles maelezo daah,ndo nini sasa