raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,827
- 36,831
Akitupia na miwani nyeusi anabaki anachekea tumboni tuu 😄Anajua kuigiza.Alikuwa akivaa kombati na mkanda kaufunga vema kiunoni ilikuwa lazima uombe pooch!Kumbe dah!
Akitupia na miwani nyeusi anabaki anachekea tumboni tuu 😄Anajua kuigiza.Alikuwa akivaa kombati na mkanda kaufunga vema kiunoni ilikuwa lazima uombe pooch!Kumbe dah!
Kizee fulani kitapeli mnooo!Akitupia na miwani nyeusi anabaki anachekea tumboni tuu 😄
Inasikitisha sanaFreeman Mbowe Aonekana Kwenye Uzinduzi wa Kituo cha Julius Nyerere
Global Publishers
Hata kama umeondok, kama ilikuwa unaamini kwenye Liberation, una damu ya kutetea HAKI kama ulivyojinadi kwa zaidi ya miaka 30, huwezi kuungana na watesi wa wananchi kwa lolote.
View attachment 3654848
CHADEMA Sio ccm wanao vunja miradi ya maji eti kisa ilitolewa na CHADEMA maendeleo yeyote yenye lengo la kuboresha maisha ya wananchi no salama kabisa bila kujali yametoka upande ganiKwa hyo, mkiingia madarakani (ijapo haitatokea), mtavunja hilo bwawa kisa limejengwa na serikali iliyo chini ya ccm?
Tecdema ni kundi la kihuni
Lakn upinzani sio uaduiKizee fulani kitapeli mnooo!
Sentensi yako ni ya kitapelitapeli mnoo!Wanaowauwa wenzao unawaitaje?Marafiki,siyo?Lakn upinzani sio uadui
Nilimstukia siku ile wamekula pini wakiwa na komredi sumu ya nyigu. Akuguswa Ila sumu ya nyigu alikuwa kipondo heavy haswa.Kinachoumiza alikuwa anajua kabisa dhamira yake haikuwa ya ukombozi lakini bado akasababisha familia nyingi sasa hivi hazina ndugu zao.
Waendelee kupumzika kwa amani wakina Ben Saanane, Mawazo, Soka, Mzee Kibao na wengine wote waliouawa wakimuamini huyo mshenzi
Bora sasa umeanza kuona kile nilichokiona muda mrefu kwa Mbowe. Toka 2015 baada ya Mbowe kumpokea Lowassa, nilisema sina imani hata chembe na Mbowe. Hakuna mwanaccm alikuwa ananielewa hasa huku jf, leo kila mmoja anajionea mara baada ya kupoteza cheo alichokuwa anataka kufia hapo. Watu walikuwa serious na mabadiliko, yeye analinda maslahi yake kwa kisingizio cha siasa za kistaarabu.Umegusa roho yangu. WATOTO wa wati walikufa kumuunga mkono "mtetea haki",.kumbe ni traitor!
1. 1+1=2. Hii haina njaa ni universal natural maths unless it is matrimonial mathematicsMkuu mbona unalazimisha mtazamo wako ndiyo uwe mtazamo wa kila Mtanzania, na adui yako we adui wa kila mtu?
Kila mtu ana namna yake ya kuyaendea mambo na usilazimishe kuwa na universal perception juu ya mtu ama jambo fulani.
Tafuta pesa mwanangu, ni umasikini ndiyo unafanya uwe na chuki hata kwa watu ambao hawajakukosea. Njaa ina tabia ya kuleta hasira
Kama mlishindwa kumuelewa kipindi kile, nyie ndio mtakuwa na matatizo.Mkanda mnene halafu anatuambia tuzungushe mikono kusema mabadiliko...hatari sana
Mkuu kwenye game ya politics huwa hakuna permanent friend ama permanent enemy. Politics is all about interests and opportunity.1. 1+1=2. Hii haina njaa ni universal natural maths unless it is matrimonial mathematics
2. Right thinking member of a society will come to a conclusion of that nature taking into consideration of 39 yrs he ws pretending to fight for justice!
3. My being on earth is not for material gain. This is yours and not mine.
4. LASTLY avoid ad hominem arguments
uko sahihi, mwanasiasa ni shetani.....lakini kuna exceptions kama mandela/Lisu na wengine wachache...olitics is all about interests and opportunity.
DaahWachagga waruteri hawanaga ustaarabu mbele ya pesa. Angalia jinsi askofu Shoo alivyo badilika ghafla baada ya kumwagiwa noti na Samia