Yaani bibi anamshangaa mjukuu wake ,jukuu nalo linachekelea tu .
Mafisadi wanakushinda ,Pemba umeenda kutibua kama haitoshi watu wanajifanyia wanavyotaka bora nawewe ufungue biashala hapo Ikulu.
Ukiona bibi kaamuka kuja Ikulu, bila shaka kuna jambo. Ama serikali hii haipeleki mafungu ya kumtunza bibi, au ugomvi wa mkwere na Butika umepata msuluhishi.
Baija,
Mimi si shabiki wa Mkwere lakini kwa hili anastahili sifa. Wakati wa Mkapa umeme ulikuwa unakatwa kila mara pale Msasani. Lakini tangu Kikwete aingie mamlakani amemjali sana
our first lady hata mandhari ya Msasani inapendeza sana ukipatembelea.
Ila hii picha ina ujumbe mzito sana maana wanasema ,Picha inaweza kusema maneno zaidi ya elfu moja.
Ukiiangali picha utaona bibi anavyomaka ,pia unaweza kusema inawezekana kumwambia Kikwete unavyofanya si vizuri ,au mambo yako siyaelewi pengine anaambiwa ulifikiri Uraisi ni kuuza njugu.
Na Kikwete kwa anavyojichekelea anaona huyu kizee zake zishakwisha hana jipya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.